makongorosi
Member
- Apr 24, 2009
- 49
- 3
Ndugu wana jamvi kwa mtazamo wangu kikwete anawalipa deni lao waliomuweka madaraani yaani EL na rafiki yake RA. Kwa wafadhili hawa EL na RA wanataka malipo yao sasa Kikwete anawalipa kwa Instalments, instalment ya kwanza ndiyo hiyo DOWANS na instalment ya pili inakuja ile kampuni ya railway (RITES). Maana Rites kwana wako kimya wanapima maji kuona vipi ikipita dowans tusubirie instalments nyingine nyingi tu zinakuja.