Elections 2010 Kikwete anatuchezea akili...

Kwa taarifa yako TRA wanasema kwamba hawatambui hicho kima cha chini cha msahara wa Tshs 260,000/= bali Tshs 135,000/=. Hivyo wafanyakazi wameuziwa mbuzi kwenye gunia.

Mzee, TRA si wanalipaji mishahara ya wafanyakazi wa serikali bali ni wizara ya fedha??
 
We acha ujinga wewe, ulifikiri wafanyakazi wa karne hii ndio wale wa karne za mwl, we hata husomi mambo ya wakati, hivi mfanyakazi mwenye akili wanaweza kukaa pale jangwani wakachomwe na jua kumsikiliza mtu kama JK, ule umati ulikuwa umejaa jobless kama kawa, na yule bibi nae ni mfanyakazi na wale watoto na wapiga debe na mama ntilie ni wafanayakazi? Acha unani hii wako wewe mwaka huu utajua kwamba wafanyakazi ni wa kina nani.

Tonge, Nadhani haujaelewa ujumbe wa ByaseL, anapoint yake nzuri ambayo inawezekana hata wewe ungemsapoti, umeenda mbali sana kumwambia aache ujinga, mi namwona point yake ina mantiki ndani yake

Naamini utanielewa!
 
Back
Top Bottom