ningempa sifa kama walioiingiza nchi kwenye mikataba mibovu wangachukuliwa hatua....
Ningempa sifa kama waliotajwa kwenye ripoti wangechunguzwa na kuchukuliwa hatua....
Ningempa sifa mfumko wa bei ungethibitiwa na mchele kushuka toks sh 3000 hadi 1250
ningempa sifa kama bei ya petroli ingeshuka toka 2231 iliyopo sasa.....
Ningempa sifa kama wawekezaji kama yule wa monduli wangechukuliwa hatua....
Ningempa sifa kama madinu yetu yangetunufaisha wenyewe.....
Ningempa sifa kama waliouza Uda wangechukuliwa hatua......
kweli anastahili sifa kwa kuchagua mawaziri wabovu,wezi wajeuri walafi.!
kweli anastahili sifa kwa kuchagua mawaziri wabovu,wezi wajeuri walafi.!
mtoto wewe vipii?
Mtoto hushkikii?
Ubongo huushughilishiii...!
Mtoto sio ridhkiiiii....!!
Kama hawa jamaa watachukuliwa hatua na kunyang'anywa mali walizoiba basi ntampa sifa
Kwani nani alikuwa hajui kuwa tulikuwa tunaibiwa, ni kwamba kwenye hii awamu wizi umeongezeka kwa kasi zaidi, ari zaidi na nguvu zaidi, hakuna cha ajabu, hajaanza kuvunja baraza la mawaziti leo, shauku ya watanzania ni kuondokana na serikali badhitifu ya ccm!Huo ni ufinyu wa kufikiri. Ni wewe ulianzisha mfumo huu ambao leo hii unaweza kuwajua wabadhirifu? funguka kidogo.
Mliibiwa awamu zote za kabla ya Kikwete bila kujijuwa, leo kawaonesha njia mbadala inabidi mumpe kila sifa. Mngeyajuwa haya?
ningempa sifa kama walioiingiza nchi kwenye mikataba mibovu wangachukuliwa hatua....
Ningempa sifa kama waliotajwa kwenye ripoti wangechunguzwa na kuchukuliwa hatua....
Ningempa sifa mfumko wa bei ungethibitiwa na mchele kushuka toks sh 3000 hadi 1250
ningempa sifa kama bei ya petroli ingeshuka toka 2231 iliyopo sasa.....
Ningempa sifa kama wawekezaji kama yule wa monduli wangechukuliwa hatua....
Ningempa sifa kama madinu yetu yangetunufaisha wenyewe.....
Ningempa sifa kama waliouza Uda wangechukuliwa hatua......