Mzanaki
Member
- Feb 25, 2011
- 20
- 11
Kwa mtu mwenye maono ya mbali na busara aliyefuatilia kwa makini uongozi wa JK tangu mwaka 2005 hata kama mtu huyo ni mkereketwa wa kutupwa wa CCM kama mzee Msekwa,Kingunge nk. atakuwa amejiridhisha kuwa kiongozi huyu anapwaya.Kwanza kwa kumlinganisha na aliyemtangulia yaani Mkapa na pia kwa kuwatazama mawaziri wake kama wakina Sophia Simba,Wiliam Ngeleja nk.., achilia mbali waliojiuzulu hapo awali kama wakina Karamagi na Lowasa.
Utendaji kazi wa raisi huyu kwanza haufuati itifaki,Rais atazungumzia ujenzi wa nyumba Gongo la Mboto wakati waziri wa makazi yupo,..Rais atazungumzia maandamano ya amani ya Chadema tena kwa kutetemeka wakati waziri wa utawala bora yupo achilia mbali Waziri mkuu na Makamu wa raisi...Waziri wa maji Mark Mwandosya atafungua tawi la benki ya CRDB huku waziri wa biashara yupo..nk..nk..Hizi ni dalili za serikali iliyochanganyikiwa kutokana kupwaya kwa raisi wake.Ukimtazama JK kwa makini wakati wa hotuba yake ya mwisho wa mwezi, kwanza utagundua hofu kuu ambayo inazidi ile iliyoonyeshwa na Mubaraq, Ben Ali na hata Qadaffi!...Wewe bado unashikilia dola sasa hofu kubwa kiasi hiki inatoka wapi kama sio dhamira yako inakushitaki kutokana na kupwaya kwako?.Kaza msuli Mr.President otherwise wananchi watakung'oa kweli!.
Utendaji kazi wa raisi huyu kwanza haufuati itifaki,Rais atazungumzia ujenzi wa nyumba Gongo la Mboto wakati waziri wa makazi yupo,..Rais atazungumzia maandamano ya amani ya Chadema tena kwa kutetemeka wakati waziri wa utawala bora yupo achilia mbali Waziri mkuu na Makamu wa raisi...Waziri wa maji Mark Mwandosya atafungua tawi la benki ya CRDB huku waziri wa biashara yupo..nk..nk..Hizi ni dalili za serikali iliyochanganyikiwa kutokana kupwaya kwa raisi wake.Ukimtazama JK kwa makini wakati wa hotuba yake ya mwisho wa mwezi, kwanza utagundua hofu kuu ambayo inazidi ile iliyoonyeshwa na Mubaraq, Ben Ali na hata Qadaffi!...Wewe bado unashikilia dola sasa hofu kubwa kiasi hiki inatoka wapi kama sio dhamira yako inakushitaki kutokana na kupwaya kwako?.Kaza msuli Mr.President otherwise wananchi watakung'oa kweli!.