mbayumbayu
Senior Member
- Jan 25, 2012
- 110
- 82
Huenda kama ni makengeza basi nafikiri hata masikio yangu pia yana makengeza; Kwani na mimi nimeisikia ITV jana saa mbili usiku. Nilibaki mdomo wazi, kwa mtu kama Raisi wa Tanzania, anayeelewa nchi yake na watu wake walivyo, anaomba nchi za Ulaya kusaidia kupambana na Rushwa katika nchi za Kiafrika.
TENA ALIKUWA ANACHEKA CHEKA WAKATI ANAONGEA KWA KUJUA KUWA ANACHONGEA SIYO ANACHOMAANISHA!!!!
PTYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!!!!!!!!!
Kisha baadaye akawekwa BW. HOSEA WA TAKUKURU; ambaye alitudhihirishia kuwa KatikaSKENDO YA RADA HAKUNA MTANZANIA ALIYEHUSIKA, HIVYO NI UINGEREZA TU WALIHUSIKA KATIKA RSHWA YA RADA.
Nikabaki mdomo wazi, Iweje mtu wa nje ahusike katika rushwa inayohusu nchi yetu.
Je, huyo muingereza aliyehusika alikupewa Commission na nani??
Je, iweje achukue Rushwa mtu wa nje ili kutuuzia sisi Rada??
Je, kwanini bei iandikwe tofauti na bei halisia, kwani katika manunuzi lazima kulikuwa na Proforma Invoice, au Tender iliyotangazwa.
Jana niliangalia ITV mwisho niliamua kunyanyuka na kutoka nje kwani nilishindwa kuizima kwani kulikuwa na wengine wanaangalia.
KWA KWELI SERIKALI YA AWAMU YA NNE HAIJUI HATA INAFANYA NINI. Huenda waliomba madaraka lakini hawajui hata Job Description yao.
TANZANIA TULIKOTOKA NI KUBAYA NA TUNAKOKWENDA NI KUBAYA ZAIDI!!!!!!!!!!!
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
Kwa kweli wana JF hata mimi nilisikia nikashangaa sana!!! kumbe hata wana JF wenzangu waliosikia wamebaki midomo wazi. kama uraisi ni huo wa JK, basi kila mtu anaweza kuwa rais wa TZ. Kuwaomba wazungu fedha za kukamata mafisadi aliowasamehe yeye mwenyewe na kuacha kuwapeleka mahakamani? SFO walimweleza kuhusu waziri wake mwenye MABILIONI , wakamtajia jina na hata mahali pesa hizo zilikowekwa bado hakuchukua hatua... Leo anawaomba wampe fedha? Kudadadeki!