Fareed inaelekea huna kazi ya kufanya ndio maana kila siku unakesha kuhesabu safari za Rais, wewe ulitaka asifanye kazi zake za uraisi ? Kwa kweli unaboa
Sijui yeye anataka kuvumbua nini huku na huko anakozurura?Hivi hakuna sheria ya Kimataifa (ICC ya Ocampo) ya kumkamata kiongozi anayetumia madaraka vibaya kama kuchezea rasilimali za nchi na uzururaji usio na Tija?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.