KUN
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 382
- 80
Wachina wanazidikushika kasi hapa nchini, wengine wakiwa na sifa za kufanya kazi hapa nchiniwengine hawana kabisa, ninavosema hawana ni hawana uwezo sababu nimefanya naokazi.
Sio wachinatu hata wageni wengine wanazidi kuingia nchini na kuteka soko la ajira na sisivijana tunakosa hizo fursa wakati uwezo wa kufanya kazi tunao.
Kikwete:
Kikweteakiwa kwenye sherehe za sikukuu ya mei mosi kule songea mwaka juzi alinukuliwaakisema kuwa sisi watanzania tunakosa kazi kwenye taasisi binafsi kwa sababu yaUAMIAJI akilenga kuwa uamiaji wanatoa vibari vya kuishi na kufanya kazi kwawageni hata ambao hawana sifa za kufanya kazi na hata ambao wanazo hizo sifaunakuta hapa nyumbani hao wataalamu tunao wa kuweza kuziba hizo nafasi. (Kikwetealikuwa sahihi)
Liwalo na Liwe:
Akiwaa bungeni(sikumbuki ni kiako gani na ni nani alimuuliza swali lakini ilikuwa 2011,kilikuwa kipindi cha maswali ya papo hapo) nachokumbuka aliulizwa swali na mmojawa wabunge wa upinzani, Mbunge huyu alitaka kujua serikali inampango gani wakuwahahakikishia vijana wa kitanzania ajira kwenye taasisi binafsi ambazozinaonekana wamejaa wageni .??
Majibu yaPinda: anasema tatizo lipo kwetu sisi watanzania, tukiajiriwa kwenye hizitaasisi tunakuwa na visingizio vingi hasa pale tunapokuwa na matatizo madogomadogo ndo mana hatuajiriwi. Utaskia mtu ansema mara ooh mjomba anumwa naombaruhusa, mara mtoto wa shangazi anaolewa naomba ruhusa, mara ooh bibi yangukijijini kafariki naomba ruhusa nikamzike. Pinda akakonkludi hivi, ili mwajirikukwepa huo usumbusu wa watanzania kuomba ruhusa mara kwa mara kwa mwajiri ndomaana wanaamua kuja na watu wao kutoka huko kwao kama wafanyavyo wachina. akawa ameshauri watanzania tubadilike..
Hapa Pinda alichemka na alipotosha ukweli kuhusu hili jambo..
KwaniniKikwete alikuwa Sahihi japo ameshindwa kutatua hili tatizo? Najua ameshindwakwa sababu ya UDHAIFU
Nimeona kibaricha mgeni mmoja amabaye yupo hapa nchini tangu 2010 akifanya kazi za ujenzi wamajengo na barabara ambaye hana sifa hata kidogo. Kibari kilitolewa na UAMIAJItarehe 30 SEP 2010, hiki kibari kimesainiwa na Director of Immigration servicesna kina namba NO. 095093 DN. 617395 & EP 2107/10.
Kwanini nasema hana sifa?
Kwenye hiihati kipengere (b) Nanukuu..The holder shall not engage in any employment,trade, business or profession other than PLASTERMANAGER.
Swali kwaKikwete, Pinda na Uamiaji, Hivi kweli sisi watanzania hatuwezi kusimamia plaster? (wanaiita Lipu kwa Kiswahili).
Ukombozi unakaribia.......2015...................
Sio wachinatu hata wageni wengine wanazidi kuingia nchini na kuteka soko la ajira na sisivijana tunakosa hizo fursa wakati uwezo wa kufanya kazi tunao.
Kikwete:
Kikweteakiwa kwenye sherehe za sikukuu ya mei mosi kule songea mwaka juzi alinukuliwaakisema kuwa sisi watanzania tunakosa kazi kwenye taasisi binafsi kwa sababu yaUAMIAJI akilenga kuwa uamiaji wanatoa vibari vya kuishi na kufanya kazi kwawageni hata ambao hawana sifa za kufanya kazi na hata ambao wanazo hizo sifaunakuta hapa nyumbani hao wataalamu tunao wa kuweza kuziba hizo nafasi. (Kikwetealikuwa sahihi)
Liwalo na Liwe:
Akiwaa bungeni(sikumbuki ni kiako gani na ni nani alimuuliza swali lakini ilikuwa 2011,kilikuwa kipindi cha maswali ya papo hapo) nachokumbuka aliulizwa swali na mmojawa wabunge wa upinzani, Mbunge huyu alitaka kujua serikali inampango gani wakuwahahakikishia vijana wa kitanzania ajira kwenye taasisi binafsi ambazozinaonekana wamejaa wageni .??
Majibu yaPinda: anasema tatizo lipo kwetu sisi watanzania, tukiajiriwa kwenye hizitaasisi tunakuwa na visingizio vingi hasa pale tunapokuwa na matatizo madogomadogo ndo mana hatuajiriwi. Utaskia mtu ansema mara ooh mjomba anumwa naombaruhusa, mara mtoto wa shangazi anaolewa naomba ruhusa, mara ooh bibi yangukijijini kafariki naomba ruhusa nikamzike. Pinda akakonkludi hivi, ili mwajirikukwepa huo usumbusu wa watanzania kuomba ruhusa mara kwa mara kwa mwajiri ndomaana wanaamua kuja na watu wao kutoka huko kwao kama wafanyavyo wachina. akawa ameshauri watanzania tubadilike..
Hapa Pinda alichemka na alipotosha ukweli kuhusu hili jambo..
KwaniniKikwete alikuwa Sahihi japo ameshindwa kutatua hili tatizo? Najua ameshindwakwa sababu ya UDHAIFU
Nimeona kibaricha mgeni mmoja amabaye yupo hapa nchini tangu 2010 akifanya kazi za ujenzi wamajengo na barabara ambaye hana sifa hata kidogo. Kibari kilitolewa na UAMIAJItarehe 30 SEP 2010, hiki kibari kimesainiwa na Director of Immigration servicesna kina namba NO. 095093 DN. 617395 & EP 2107/10.
Kwanini nasema hana sifa?
Kwenye hiihati kipengere (b) Nanukuu..The holder shall not engage in any employment,trade, business or profession other than PLASTERMANAGER.
Swali kwaKikwete, Pinda na Uamiaji, Hivi kweli sisi watanzania hatuwezi kusimamia plaster? (wanaiita Lipu kwa Kiswahili).
Ukombozi unakaribia.......2015...................