Haki haizuiliki kwa police wala bunduki, mabomu ya machozi au maji ya kuwasha bali kwa majadiliano ya amani kama ulikua hulijui hilo JK litambue tangia sasa
nani kasema?Nimesikia nje ya mlango wa ofisini kwangu
anachoelewa raisi wetu ni kufanya staree na kufuja pesa zetu.
nawatizama askari hawa na hutu tumishaharab twa 250,000 sijui moyo wakupiga virubgu watetezi wao wanautoa wapi
nani kasema?
nawatizama askari hawa na hutu tumishaharab twa 250,000 sijui moyo wakupiga virubgu watetezi wao wanautoa wapi