Nani Kasema
Senior Member
- May 31, 2011
- 148
- 27
Naomba nilete angle tofauti ambayo sijaona imeongelea hapa kuhusu ukatili wa polisi dhidi ya wanachadema Tanzania.
Habari ninazosikia ni kwamba, mheshimiwa raisi wa Tanzania Dr Dr Dr Dr Kikwete, ameamua kusimamisha kasi ya mageuzi inayoendelea nchini kwa kutumia vyombo vya usalama.
Kama mjuavyo, mkulu wa nchi mpaka Leo huwa haamini yaliyotokea kwenye uchaguzi wa mwaka jana. Baba Riz1 bado hajakubali ukweli kuwa chadema na kelele zao za chura walilazimisha wakuu wa usalama kulazimika kuingilia Kati ili 'kulinda' Amani ya nchi.
Kinachoumiza zaidi ni ile 'situation' iliyolazimisha matokeo kuchukua karibu wiki nzima ili kukamilisha mchakato wa kuyatoa kwa wananchi. Hapa sitaki kuongelea kitendo cha kuzuia ITV na vyombo vingine vya habari visitangaze matokeo ya uraisi ya vituoni Kama ilivyokuwa imepangwa awali.
Sasa basi, tegemea yafuatayo toka kwa mkuu wa nchi kupitia kwa jeshi la polisi kuanzia Leo hii:
1. Hakuna mikutano yoyote ya hadhara ya chadema itakayoruhusiwa - kisingizio ni al shabab
2. Hakuna maandamano
3. Viongozi Kuwekwa ndani bila sababu za kueleweka
4. Wakereketwa wa chadema kubambikizwa kesi za ajabu ajabu.
5. Vyombo vya habari ikiwemo JF kutumika kuipaka matope chadema
Swali utakalojiuliza ni kuwa, Kwikete anategemea vipi Kujificha asijulikane kuwa amehusika?
Jibu, subiri uone hatima ya hii topic yangu.
Habari ninazosikia ni kwamba, mheshimiwa raisi wa Tanzania Dr Dr Dr Dr Kikwete, ameamua kusimamisha kasi ya mageuzi inayoendelea nchini kwa kutumia vyombo vya usalama.
Kama mjuavyo, mkulu wa nchi mpaka Leo huwa haamini yaliyotokea kwenye uchaguzi wa mwaka jana. Baba Riz1 bado hajakubali ukweli kuwa chadema na kelele zao za chura walilazimisha wakuu wa usalama kulazimika kuingilia Kati ili 'kulinda' Amani ya nchi.
Kinachoumiza zaidi ni ile 'situation' iliyolazimisha matokeo kuchukua karibu wiki nzima ili kukamilisha mchakato wa kuyatoa kwa wananchi. Hapa sitaki kuongelea kitendo cha kuzuia ITV na vyombo vingine vya habari visitangaze matokeo ya uraisi ya vituoni Kama ilivyokuwa imepangwa awali.
Sasa basi, tegemea yafuatayo toka kwa mkuu wa nchi kupitia kwa jeshi la polisi kuanzia Leo hii:
1. Hakuna mikutano yoyote ya hadhara ya chadema itakayoruhusiwa - kisingizio ni al shabab
2. Hakuna maandamano
3. Viongozi Kuwekwa ndani bila sababu za kueleweka
4. Wakereketwa wa chadema kubambikizwa kesi za ajabu ajabu.
5. Vyombo vya habari ikiwemo JF kutumika kuipaka matope chadema
Swali utakalojiuliza ni kuwa, Kwikete anategemea vipi Kujificha asijulikane kuwa amehusika?
Jibu, subiri uone hatima ya hii topic yangu.