mbali na wananchi wa tz kuwa katika shida kubwa katika kipindi cha kwanza cha kikwete lakini ni umati mkubwa ulijitokeza jana kumuunga mkono mjini morogoro , sijui ni kwanini watu wamefurahisha na yeye anavyoonekana bila ya sera au nini wanachokiona ambacho ni kikubwa toka kwake.