Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,716
- 155,304
Ni dhambi gani kubwa inayomsumbua ambayo inamfanya mpaka asienda ku hij?
Ni dhambi gani kubwa inayomsumbua ambayo inamfanya mpaka asienda ku hij?
Aisee mbona taito na maelezo haviendani?!, au musiba wa mnajimu umekuchanganya?, kwa taalifa yako JK ni alhaj, alienda hija alipokuwa waziri wa mambo ya nje. Baada ya CRAP yako toa maelezo ili watu wachangie.
Ni dhambi gani kubwa inayomsumbua ambayo inamfanya mpaka asienda ku hij?
ana mihirizi mpaka mdomoni aende kuhiji si itamlipukia huko makka...bora akae hapa hapa tu ..labda akahiji msikiti wa mtambani au tambaza
</p>Hija ni hiari ya mtu kuna wangapi wenye uwezo ambao hawajaenda Hija? Pili "<i>Title" </i> imelenga swala la uwezo mambo ya Hija yametoka wapi tena? Tujadili uwezo wake wa kuongoza ndiyo italeta maana.