Kikwete amwambia Magufuli aache Ubabe kwenye bomoa bomoa; Magufuli ataaminika tena?

Let the circus go on!!!!!..... and on!!!.... we are used to it now aren't we?....
 
Vilaza wote hao JK tatua tatizo la umeme sio huu umburukenge unaofanya hivi sasa ati unatembelea wizara phew! What a thief ... .... .... kaa Magogoni ufanye kazi, kazi ya urais sio kuzurula kama mvuta bangi.

Anapozunguka hivyo kwenye hizo Wizara ujue anaulizia kama kuna Safari yoyote Waziri kama amealikwa nje ili aungane nae, Miguu inamuawasha anatafuta safari ya lazima. Nchi imeshamshinda Tangu 2006 lakini bado anang'ang'ania
 
Mwanakijiji,

Hakumuambia aendelee na shughuli zake katika hili. Kamwambia waziwazi kuwa aache ubabe na bomoa bomoa pasipo kulipa fidia haiwezekani, hatya kama waliojenga walikuwa na makosa. Let's all wait and see it in the news this evening or in tomorrow's papers may be ndio wengine watalielewa vema hili.

Magufuli looked terribly embarrassed during the meeting as he was 'head down' for most of the time during that meeting. Im sure he didn't expect it from the president himself. Pressumably he thought he would be consoled from what happened in Pinda's visit in Kagera region.
 
ni huyu huyu JK aliyeomba viongozi wadini waombeee mvua.... hiyo yote inaonyesha ni mtu wa short plans not long plans....kanyaga twende staili ....aangalie asije akafanya taifa lisilotoa mawazo mbadala .... tunaenda wapi? na kwa faida ya nani?
 
rais jakaya kikwete leo amemgeukia mbogo waziri magufuli kwa kumwambia waziwazi kuwa aache ubabe na mpango wake wa bomoa bomoa wakati wa ziara ya rais alipotembelea wizara ya ujenzi leo hii.

Huu unaonekana ni msumari mwingine kwa mpiganaji magufuli, kufuatia msumari wa kwanza uliogongelewa na pinda wakati akiwa bukoba hivi karibuni.

Hapo awali magufuli aliwataka 'wajenga hovyo" kando kando ya hifadhi za barabara kuwa wanabomoa wenyewe kwa kipindi kifupi. Now mheshimiwa jk amemuagiza kuwapa "hata miaka miwili" na kuwalipa na fidia.

Kazi inaendelea.... Je, magufuli kuamua kujiuzuru kama tetesi zilivyosambaa hapo awali?

Binafsi, sikubaliani na utaratibu huu wa kuendesha vikao na kufanya maamuzi hadharani. Masuala haya ya pinda, jk na hata magufuli mwenyewe wangeweza kuyafanya na kukubaiana katika vikao vya baraza la mawaziri badala ya kutengeneza sinema hadharani.

I striongly believe they are trying to create "storyboard" for winning public attention kwenye masuala yasiyo ya msingi na kusahau yanayogusa maisha yao moja kwa moja.


hapa ni patamu nataka kumjua magufuli ni mtu wa namna gani?
 
Let us wait and see the eighth wonder of the world, oh sorry of Tanzania
 
Anapozunguka hivyo kwenye hizo Wizara ujue anaulizia kama kuna Safari yoyote Waziri kama amealikwa nje ili aungane nae, Miguu inamuawasha anatafuta safari ya lazima. Nchi imeshamshinda Tangu 2006 lakini bado anang'ang'ania

Ningekuwa mimi ni mzee wa chadema ningekupa uenyekiti na binti wangu.
 
mwanakijiji,

hakumuambia aendelee na shughuli zake katika hili. Kamwambia waziwazi kuwa aache ubabe na bomoa bomoa pasipo kulipa fidia haiwezekani, hatya kama waliojenga walikuwa na makosa. Let's all wait and see it in the news this evening or in tomorrow's papers may be ndio wengine watalielewa vema hili.

Magufuli looked terribly embarrassed during the meeting as he was 'head down' for most of the time during that meeting. Im sure he didn't expect it from the president himself. Pressumably he thought he would be consoled from what happened in pinda's visit in kagera region.

nafikiri jk anataka kujitengenezea umaarufu juu ya mgongo wa magufuli
 
Hizi ni sinema. Tatizo ni kujua nani kashika remote control.
Rais Jakaya Kikwete leo amemgeukia mbogo waziri Magufuli kwa kumwambia waziwazi kuwa aache ubabe na mpango wake wa Bomoa Bomoa wakati wa ziara ya Rais alipotembelea wizara ya Ujenzi leo hii.

Huu unaonekana ni msumari mwingine kwa mpiganaji Magufuli, kufuatia msumari wa kwanza uliogongelewa na Pinda wakati akiwa Bukoba hivi karibuni.

Hapo awali magufuli aliwataka 'Wajenga Hovyo" kando kando ya hifadhi za barabara kuwa wanabomoa wenyewe kwa kipindi kifupi. Now Mheshimiwa JK amemuagiza kuwapa "Hata miaka miwili" na kuwalipa na fidia.

Kazi inaendelea.... Je, Magufuli kuamua kujiuzuru kama tetesi zilivyosambaa hapo awali?

Binafsi, sikubaliani na utaratibu huu wa kuendesha vikao na kufanya maamuzi hadharani. Masuala haya ya Pinda, JK na hata Magufuli mwenyewe wangeweza kuyafanya na kukubaiana katika vikao vya baraza la mawaziri badala ya kutengeneza sinema hadharani.

I striongly believe they are trying to create "storyboard" for winning public attention kwenye masuala yasiyo ya msingi na kusahau yanayogusa maisha yao moja kwa moja.
 
Rais yuko sahihi kama amesema hivyo. Naona kwenye taarifa ya habari kwamba ameagiza iundwe timu ya wizara kuangalia tatizo la kuvamia maeneo ya hifadhi ya barabara. Sawa kabisa. Suala la bomoabomoa si la kukimbilia linataka lifanyiwe kazi ya kutosha kwa kuwa kuna watu wamepewa hati za kumiliki viwanja na mamlaka za serikali. Kuna sheria kinzani; moja ya mipango miji na ya pili ni hii ya hifadhi ya barabara. Tukumbuke kuwa Magufuli alipotoka wizara ya Ujenzi kwenda Ardhi alikuwa akipinga ubomoaji (kwa taarifa yenu) kwa kuwa wizara yake ilitoa vibali kwa mujibu wa sheria ya mipango miji lakini sasa anasimamia sheria ya hifadhi ya barabara!!Wizara hizi zikae pamoja zitafute ufumbuzi vinginevyo watawazidishia watanzania umasikini. Kuna watu wamekopa kwa hati ambazo ziko ndanii ya hifadhi ya barabara na zimetolewa na serikali. Tusikurupuke kubomoa
 
Nimeshaona hii picha ilivyotengenezwa; Magufuli akijiuzulu tu anaweza kushtakiwa kwa kutumia madaraka vibaya na kuisababishia serikali hasara! Na kesi itakuwa prolonged hadi 2015 na kumuondoa kwenye kinyang'anyiro cha urais kabisa.
 
Rais Jakaya Kikwete leo amemgeukia mbogo waziri Magufuli kwa kumwambia waziwazi kuwa aache ubabe na mpango wake wa Bomoa Bomoa wakati wa ziara ya Rais alipotembelea wizara ya Ujenzi leo hii.

Huu unaonekana ni msumari mwingine kwa mpiganaji Magufuli, kufuatia msumari wa kwanza uliogongelewa na Pinda wakati akiwa Bukoba hivi karibuni.

Hapo awali magufuli aliwataka 'Wajenga Hovyo" kando kando ya hifadhi za barabara kuwa wanabomoa wenyewe kwa kipindi kifupi. Now Mheshimiwa JK amemuagiza kuwapa "Hata miaka miwili" na kuwalipa na fidia.

Kazi inaendelea.... Je, Magufuli kuamua kujiuzuru kama tetesi zilivyosambaa hapo awali?

Binafsi, sikubaliani na utaratibu huu wa kuendesha vikao na kufanya maamuzi hadharani. Masuala haya ya Pinda, JK na hata Magufuli mwenyewe wangeweza kuyafanya na kukubaiana katika vikao vya baraza la mawaziri badala ya kutengeneza sinema hadharani.

I striongly believe they are trying to create "storyboard" for winning public attention kwenye masuala yasiyo ya msingi na kusahau yanayogusa maisha yao moja kwa moja.

Tatizo la nchi yetu ni 'ujinga' kama alivyosema Baba wa Taifa ambao alisema ni udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote....na 'ujinga' wa watanzania umeletwa na CCM na viongozi wake...!
Wamefanya wananchi kuwa msingi wa kuyumbisha kwa jinsi wanavyotaka...! Sheria wamezikalia bungeni, wakazitunga, kwa wingi wao wakazipitisha, anakuja jamaa wao humohumo anazitekeleza, halafu rais, waziri mkuu na wengine wanamgeuka? Huu ni ujinga mkuu wa viongozi wenyewe! Hawa viongozi wote hawa ndio pia wanawafanya wananchi 'wajinga' kwa sababu tu wananchi hawataki kuchukua jukumu la kuwaondoa madarakani. Jibu ni moja tu! Hatuna uongozi. Nchi inajiongoza yenyewe....'kitoroli-toroli'! ikienda kushoto sawa! ikienda kulia sawa...! ndio nchi yetu hiyo!

Wananchi wanatakiwa kuamua moja...aidha kujikomboa, au kuendelea kukaliwa na viongozi waliojaa akili za namna hii kwa miaka mingine isiyohesabika...'akili ni mali', kila raia analijua hilo? Nini kifanyike? Tunaomba majibu sasa!
 
huyu anajiita arafat ni kibaraka nn,achen dr.pombe awapembue tu kama hamkufuata sheria
 
hamna la kufanya.wala magufuli hawezi kujiuzulu akatishe ulaji wake.wewe ungeachia ngazi?hapa tz hakuna kujiuzulu mbona Hussen Mwinyi hakujiuzulu licha ya kutangaza hadharan 2009?
 
Rais yuko sahihi kama amesema hivyo. Naona kwenye taarifa ya habari kwamba ameagiza iundwe timu ya wizara kuangalia tatizo la kuvamia maeneo ya hifadhi ya barabara. Sawa kabisa. Suala la bomoabomoa si la kukimbilia linataka lifanyiwe kazi ya kutosha kwa kuwa kuna watu wamepewa hati za kumiliki viwanja na mamlaka za serikali. Kuna sheria kinzani; moja ya mipango miji na ya pili ni hii ya hifadhi ya barabara. Tukumbuke kuwa Magufuli alipotoka wizara ya Ujenzi kwenda Ardhi alikuwa akipinga ubomoaji (kwa taarifa yenu) kwa kuwa wizara yake ilitoa vibali kwa mujibu wa sheria ya mipango miji lakini sasa anasimamia sheria ya hifadhi ya barabara!!Wizara hizi zikae pamoja zitafute ufumbuzi vinginevyo watawazidishia watanzania umasikini. Kuna watu wamekopa kwa hati ambazo ziko ndanii ya hifadhi ya barabara na zimetolewa na serikali. Tusikurupuke kubomoa
Hapo kwenye red amesema iundwe timu au tume, maana huyu ni mzee wa tume, JK kama kawaida yake anataka kuonyesha anawajali wananchi wenye matatizo, hii ni sawa kabisa na kuhudhuria msiba. Rais amekula kiapo kwamba atailinda katba ya nchi, iweje sasa aanze ku comprise na sheria zilizo chini ya katiba halali ya Tanzania/
 
Mbona Tibaijuka wazri wa Aridh na Makaz hasemi lolote coz wizara yake ndio inachakachuliwa au hajui sheria kama Makufuli?, hii metch kati ya Magufuli na Tibaijuka nani mshndi? hadi kieleweke
 
Duh! Ukistaajabu ya Gaddaf utaona ya ...... Tehe tehe, Tz bwana mpaka miaka mitano iishe tutakuwa tumesikia na kuona mengi. Asante kwa masikio na macho kwani hayachoki kutimiza wajibu wake wa kusikia na kuona.
 
Rais Jakaya Kikwete leo amemgeukia mbogo waziri Magufuli kwa kumwambia waziwazi kuwa aache ubabe na mpango wake wa Bomoa Bomoa wakati wa ziara ya Rais alipotembelea wizara ya Ujenzi leo hii.

Huu unaonekana ni msumari mwingine kwa mpiganaji Magufuli, kufuatia msumari wa kwanza uliogongelewa na Pinda wakati akiwa Bukoba hivi karibuni.

Hapo awali magufuli aliwataka 'Wajenga Hovyo" kando kando ya hifadhi za barabara kuwa wanabomoa wenyewe kwa kipindi kifupi. Now Mheshimiwa JK amemuagiza kuwapa "Hata miaka miwili" na kuwalipa na fidia.

Kazi inaendelea.... Je, Magufuli kuamua kujiuzuru kama tetesi zilivyosambaa hapo awali?

Binafsi, sikubaliani na utaratibu huu wa kuendesha vikao na kufanya maamuzi hadharani. Masuala haya ya Pinda, JK na hata Magufuli mwenyewe wangeweza kuyafanya na kukubaiana katika vikao vya baraza la mawaziri badala ya kutengeneza sinema hadharani.

I striongly believe they are trying to create "storyboard" for winning public attention kwenye masuala yasiyo ya msingi na kusahau yanayogusa maisha yao moja kwa moja.

source pls isije kuwa ni udaku tu kama wa wakati ule mwatuambia magufuli kajiuzulu kumbe hola.upo ikulu au usalama wa taifa? kama ndivo tuaminije?
 
Back
Top Bottom