Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Siamini kwamba kesi ya Lulu ndio imempa ujaji. Hivi Mheshimiwa Raisi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili kuwa Majaji?
Nashangaa, sababu inaonekana ghafla wakati wa utawala wake ndio wanasheria wengi wamekuwa na weredi mkubwa sana, no wonder hata malaymen wanaweza kuquestion maamuzi ya majaji wetu wa sasa.