Ni habari njema sana kusikia watu wanagombea uongozi wa kisiasa wakiwa na pumzi za siasa.
Wale wengine waliofilisika kisiasa wanalia faulo ya ukabila..!!
Who is a better evil , Bhanji or Londa?
Shyrose ni Mhindi ama mimi sijaelewa ? Maana hawa CCM bwana .Kuna mtu kamlinganisha Shyrose na FMES mimi nasema hapana si kweli maana FMES tumeona akisimamia issues hapa hata kukiumiza Chama chake ila huyu Mhindi sijawahi kumsikia popote .[/QUOTE
Yale yale.....
Sijui hawa watu wanalia nini wakati nchi inaangamia?
Kuna nini la maana kung'ang'ania NEC NEC NEC wakati wakati kila kona ya nchi watu wanateseka? Huyu mwanamke ningemwona wa maana kama angekuwa anawatoa watu machozi kwa kuhudumia watu wenye shida na kuwaamsha masikini wadai haki zao. Lakini kwa kuhangaikia NEC anatafuta misifa kama mafisadi wengine wa CCM.
Jamani Jk si anazo nafasi za kuteua watu kuwa wajumbe wa NEC?? Nadhani anazo 10 na ametumia 2 kumpa CD na SAS, so akitaka Shy atapata moja bila matatizo na nadhani tutaambiwa siku zijazo kuwa Shy kateuliwa NEC na mwenyekiti.
Hii habari ya kubpigwa chini Serukamba ni njema maana jamaa ni shabiki sana wa mafisadi....
Jamani Jk si anazo nafasi za kuteua watu kuwa wajumbe wa NEC?? Nadhani anazo 10 na ametumia 2 kumpa CD na SAS, so akitaka Shy atapata moja bila matatizo na nadhani tutaambiwa siku zijazo kuwa Shy kateuliwa NEC na mwenyekiti.
Samahani sana mimi siko anti-Shyrose au mtu yeyote. Nachukia watu wanaotafuta nafasi kuendeleza yale yale ya jana, leo na milele.
Kama Shyrose angekuwa kweli anatafuta nafasi ya kusaidia kufanya maamuzi, basi huko anakokimbilia siko kwenyewe. Kule maamuzi yalishafanywa. Akajiunge na wapambanaji wengine na siyo lazima kwenye vyama hata kwenye mikusanyiko ya kijamii. Maamuzi yapi ya maana unayategema au tuyategemee toka CCM baada ya kudumaza nchi kwa nusu karne?? That's not the plate to go! Unless she was crying for something else!
Jamani Jk si anazo nafasi za kuteua watu kuwa wajumbe wa NEC?? Nadhani anazo 10 na ametumia 2 kumpa CD na SAS, so akitaka Shy atapata moja bila matatizo na nadhani tutaambiwa siku zijazo kuwa Shy kateuliwa NEC na mwenyekiti.
Hii habari ya kubpigwa chini Serukamba ni njema maana jamaa ni shabiki sana wa mafisadi....
Hii habari ya kubpigwa chini Serukamba ni njema maana jamaa ni shabiki sana wa mafisadi....
Huyu mama mbona analia lia anafikiri kuna upendeleo?
Sasa wajumbe wanalilia nini kaongea maneno gani mazito kusema anakaribia kwenye uongozi ndo kuongea maneno mazito?
Shy-Rose ni mpiganaji wa kweli ipo siku zamu yake itafika anahitaji kuungwa mkono
Vipi, je ameshaolewa?
Maneno mazito sana haya mkuu.
Vipi, je ameshaolewa?