Georgia
You are right!
Rais Jakaya Kikwete ni mvivu kusoma ama his memory is very short. The bunch of Wahahariri wangemuliza ajibu kwa ufasaha ni sababu gani zilimfanya Andrew Chenge akajiuzulu uwaziri?
Kama sio rushwa what really transpired . RADA ilininuliwa kwenye awamu ya kwanza ya Ben Mkapa . What made the change kuchukua zaidi ya miaka kumi kurudisha if it was simply a typing error?
Jakaya hao washauri wanaokuzunguka hutaenda nao kaburini . Nakuahidi ukimaliza mwaka 2015 unatarajia kwenda kuishi wapi? I think it's better ukaboresha magareza for sure tutakuondolea hiyo immunity and jail will be your first choice wewe endelea kujifunika na net kuzuia mvua. Hata watoto wako wezi mtaungana wote in jail.
You have the chance then take it watu wote Deep Green, Kagoda, Meremeta na akina Richmond , na RADAR peleka jela wewe cheka tu ulisema mwenyewe akili ya kuambiwa changanya na ya kwako?
Hivi alijibu nini kuhusu swali la Kagoda iliyochota mahela ya uchaguzi 2005?au aliipotezea?
Naamini dr.slaa atakuwa ame-take note kwani hiyo ni kete kwa uchaguzi 2015 kwa kuwa ccm sasa nidhahiri haiwezi kutengwa na rushwa.kwa ccm rushwa is just 10% commission.
wote tumemsikilza rais alichojibu na kimeeleweka sasa hapa mnataka kupotosha,ushahidi wenu mtasema gazeti limeandika hovyooo....! wagala punguzeni chuki jamaa kafanikiwa sana ktk uongozi wake.Mbona hamsemi alichosema kuhusu sekta ya afya ilivyopiga hatua.Acheni kuropoka kama yule mwandishi aliyesema ct scan kwa bei ya shangingi
duh.! Kwenye msafara wa mamba kenge hakosekani.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya rais wa nchi na kiongozi wa nchi....huyu tuliye naye ni rais na hayuko pale kuongoza waTanzania. Ataendelea kuropoka hivihivi hadi atakapomaliza kipindi chake 2015. Tumeongozwa na marais 4 hadi sasa: Mwl JK.Nyerere (Safi), AH.Mwinyi (Ovyo), BW.Mkapa(Safi), na JM.Kikwete (Ovyo). Kila mtu anayo mapungufu yake lakini mapungufu yanapofunika mazuri basi mimi nasema huyo rais ni wa Ovyo. Siyo kusema sasa Nyerere na Mkapa hawana mapungufu; lakini mapungufu yao yalifunikwa na mazuri ya uongozi wao kwa taifa letu.
Ndugu yangu, huyo jamaa anazo sifa nyingine unazoweza kumpa - sio hiyo.
Mkuu inaonyesha hujasikiliza hutuba....kikwete kasema wazi kabisa anayesema kwamba bei ya shangingi moja ni ni sawa na CT SCAN moja basi aende kwake watampa hela akanunue hiyo CT SCAN.....
Watu wasipotoshe kila kitu mwisho hapa JF patakuwa kama kijiwe cha Kahawa na sehemu ya Kijifurahisha tu...hizi habari za CT SCAN zilienea sana humu JF