Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Naomba Kuuliza swali Wana JF tangu Fisadi Kikwete ashike hatamu ya Uongozi katika Nchi yetu ameunda Tume ngapi? Je hizo Tume zinafaida gani kwa Taifa. Isjekuwa wanapeana ulaji Kijanja kwa Kutumia Tume halafu Tume inakufa baada ya Watu kupewa Mtaji wa kutafuna Kodi za Walalahoi.
Fisadi Kikwete amefanya kama Mtaji wa kutafuna Kodi zetu kwa kutumia Tume zisizokuwa na tija kwa Taifa, mwisho wa Tume hakuna Jibu kodi Zetu zimeliwa. Watu wanombea majanga mengine yatoke wafaidike na tume, Mi naona Kikwete amefanya Mtaji na Hizi tume.
Sasa Sijui Wa-JF mnalifikiraje hili swala la TUME mimi binafsi nimeshazichoka naona zinamaliza Kodi zetu halafu mwisho wa Tume hakuna Majibu tunaambiwa Siri za Serikali wananchi hawatakiwikujua wakati wanatumia Kodi zetu, tunataka kujua Kodi zetu zinatumikaje?
Fisadi Kikwete amefanya kama Mtaji wa kutafuna Kodi zetu kwa kutumia Tume zisizokuwa na tija kwa Taifa, mwisho wa Tume hakuna Jibu kodi Zetu zimeliwa. Watu wanombea majanga mengine yatoke wafaidike na tume, Mi naona Kikwete amefanya Mtaji na Hizi tume.
Sasa Sijui Wa-JF mnalifikiraje hili swala la TUME mimi binafsi nimeshazichoka naona zinamaliza Kodi zetu halafu mwisho wa Tume hakuna Majibu tunaambiwa Siri za Serikali wananchi hawatakiwikujua wakati wanatumia Kodi zetu, tunataka kujua Kodi zetu zinatumikaje?