Kikwete ameufanya Urais uonekane ni mrahisi; Kila mtu anataka kuwa RAIS!

Wingi wa sisimizi hao wachumia matumbo wanaousaka uraisi kwa hali na mali hawasukumwi na dhana ya "Wataifanyia nini Tanzania bali watanufaika kiasi gani katika kipindi chao cha kutawala bila kuulizwa chochote"

Uraisi na nafasi nyingine zote za kisiasa kwa sasa ni njia bora, salama na rahisi zaidi ya kujipatia utajiri usio kifani, no wonder hata wasomi wetu wengi sasa wanaacha taaluma zao kujiunga na siasa ili watajirike haraka sana kwa kuliibia taifa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kunakitu kimoja nimejifunza...Kwamba walinzi wa taasisi ya urais ni watu wakuaminika sana so yeyote aliyebahatika ama atakayebahatika kuingia humo basi yuko salama...Swali ni je kwa uaminifu huo huo je akiingia jambazi basi ulinzi ulivyoimara hivyo ataendelea kuwa salama? Je ulinzi huo ni waki-robot ama unaongozwa na dhamira njema kwa taifa? I thank God for refusing to be one among....Maana kama ningetakiwa kulinda chochote tu ilimradi kipo kwenye kiti hope could have done contrary....Sasa nagundua kumbe huwa sikurupuki katika decisions in life!
 
Je vikumbo vya kutaka kwenda ikulu kwa sasa vinasaidia au vinaleta fujo ndani ya vyama vya siasa??
 
Ngoja tuone kufika 2015 tutaona mengi kila mwana siasa anataka awe rais mpaka Mwigulu nae anataka kuwa presda wetu.
 
Back
Top Bottom