nahavache
JF-Expert Member
- Apr 3, 2009
- 871
- 246
Amethubutu kufanya nini? Kuanzisha chuo kikuu cha dodoma ambacho elimu yake ni sawa na high school?hongera rais Kikwete! umethubutu, umeweza sasa songa mbele
Amethubutu kufanya nini? Kuanzisha chuo kikuu cha dodoma ambacho elimu yake ni sawa na high school?hongera rais Kikwete! umethubutu, umeweza sasa songa mbele
memwaga pumba bila ushahidi wowote, ngoja nikupe ushahidi kuwa Kikwete Rais, bora.
Tanzania kwa mara ya kwanza kabisa imepata tuzo ya Utawala bora kutoka Umoja wa Mataifa, ulishasikia tuzo kama hiyo kabla ya Kikwete?
Halafu kwa mara ya kwanza Tanzania imepanda chart ya Kuishi, kama afya haijaimarika tu genpa kutoka kuishi miaka 50 mpaka kufikikia 56 kwa kipindi kifupi cha Kikwete? jiulize.
Mengine yote uliyoandika ni pumba tupu. Nioneshe moja tu ambalo Kikwete hajafanya zaidi ya Rais mwingine wowote wa Tanzania. Nnakuhakikishia hauna.
mama porojo umelala fofofo mpk umeng'atwa na mbu sugu. Lolkweli ww mbu sugu mmh.
si Jk tu kashindwa hata Dr Slaa na Mbowe, Mrema, Mbatia woooote ni kapu moja
Mbona hii thread imevamiwa na vibaraka wa sisiem? Tena wasiokwenda hata shule masikini. Kwani mwanaharakati ana tatizo gani kueleza ukweli. Tatizo kanga za bure na pilau zinawafanya mumwone jk kuwa ni malaika. Mimi nadhani kama ni bidhaa basi hii ya kichina.
ungefupisha maneno tusome wengi. sina comment sijamaliza kusoma ninachoona tu ni kama una chuki binafsi na Jk au uko chama cha upinzani au mwanaharakati
huna jipya ni yale yale na kibwagizo kilele na waimbaji walewale. aliyekutuma mwambie angoje hadi 2015 atapata maumivu makali moyoni kama hataki kukubaliana na hali halisi kwamba Jk ndiye Rais wake ama kama alimpa kura au hakumpa kura.
Hawa hawapo kwa ajili ya nchi hii ila ni kwaajili ya chama, na huyu ni nyerere!Aibu!
Kuna mtu aliuliza swali hivi hakuna watu wa TISS wanaoitakia mema nchi hii?
Hiyo tuzo ina faida gani kwa Mtanzania aliye maeneo ya Bagamoyo ama Lugoba ama hata mimi mtu wa Kijijini? Hajaitangaza Chalinze kuwa Wilaya.memwaga pumba bila ushahidi wowote, ngoja nikupe ushahidi kuwa Kikwete Rais, bora.
Tanzania kwa mara ya kwanza kabisa imepata tuzo ya Utawala bora kutoka Umoja wa Mataifa, ulishasikia tuzo kama hiyo kabla ya Kikwete?
Halafu kwa mara ya kwanza Tanzania imepanda chart ya Kuishi, kama afya haijaimarika tu genpa kutoka kuishi miaka 50 mpaka kufikikia 56 kwa kipindi kifupi cha Kikwete? jiulize.
Mengine yote uliyoandika ni pumba tupu. Nioneshe moja tu ambalo Kikwete hajafanya zaidi ya Rais mwingine wowote wa Tanzania. Nnakuhakikishia hauna.