Kikwete alikataa wimbo teule wa EAC kwa kudai ni wa "kikristo mno"

Pole JK mdini sasa tunamfahamu.......haya yalikuwa ni mashindano na aliyefanya vizuri ilibidi atuzwe..........vinginevyo ni uchakachuaji tu ambao JK sasa ni profesa.......................................

Kumbe ulikuwa hujui kuwa jk ni muislam.Uislam ndio udini maana ndio dini ya haki.Jk ni mdini asante kwa kulitambua hilo.
 
Jamani wakristo wenzangu hebu kuweni honest kwa swali hili: Kama tune ya Qasida ingetumika kutengeneza wimbo huo, would you support it?
 
Weka huo wimbo hapa kama upo tuujadili and we will decide if uko too religious or nat na sio kuhukumu mtu wkt wimbo wenyewe hatuujui..! what if its true?? Let us be fair sometimes...:A S-alert1:
 
Sorry the song is funny. Kwa nini wamechukua beti ya kwanza kutoka Kenya, Tanzania ´na Uganda? Je Rwanda na Burundi si sehemu ya EAC?

Kenya
Ee Mungu nguvu yetu
Ilete baraka kwetu
Haki iwe ngao na mlinzi
Natukae na undugu
Amani na uhuru
Raha tupate na ustawi.


Tanzania
Mungu ibariki Tanzania
Dumisha uhuru na umoja
Wake kwa waume ma watoto
Mungu ibariki
Tanzania na watu wake

Uganda
Oh Uganda! may God uphold thee,
We lay our future in thy hand.
United, free,
For liberty
Together we'll always stand.
Oh Uganda! the land of freedom.
Our love and labour we give,
And with neighbours all
At our country's call
In peace and friendship we'll live.
Oh Uganda! the land that feeds us
By sun and fertile soil grown.
For our own dear land,
We'll always stand:
The Pearl of Africa's Crown.

Raisi wetu mpendwa Jakaya huu wimbo una ukristo gani hapo jamani mbona baba sasa umekuwa mbaya namna hii kwa kuingiza udini kila sehemu tunamuomba mola akubadilishe moyo umrejee mumba uachane na huo ubaguzi wako ukotoke kabisa ndani ya moyo wako
 
Raisi wetu mpendwa Jakaya huu wimbo una ukristo gani hapo jamani mbona baba sasa umekuwa mbaya namna hii kwa kuingiza udini kila sehemu tunamuomba mola akubadilishe moyo umrejee mumba uachane na huo ubaguzi wako ukotoke kabisa ndani ya moyo wako
nani alioimba? umeimbwa na kanisa
 
huyu raisi ni teja sana........... si ajabu hata huu wa kwetu hapa akaupiga marufuku.....hana maana huyu
 
nani alioimba? umeimbwa na kanisa

Process ya kuchagua wimbo wa East Africa iliwahi kuonyweshwa na TBC nina kumbumbuku wale watu waimbaji sikuwaona wanaimba kanisani lakini Jakaya ni mdini akiwa waziri wa wizara ya Fedha wakati fulani alikuwa na msikiti pale kati ya vyumba vya ofisi pale wizarani
 
Process ya kuchagua wimbo wa East Africa iliwahi kuonyweshwa na TBC nina kumbumbuku wale watu waimbaji sikuwaona wanaimba kanisani lakini Jakaya ni mdini akiwa waziri wa wizara ya Fedha wakati fulani alikuwa na msikiti pale kati ya vyumba vya ofisi pale wizarani

inamaana wale watumishi wanaoutumia ofisi za umma kupiga kwaya , ukiingia ofisi hizo utadhani kanisani nao tuwaiteje? uislam sio kama ukiristo kwamba mungu wao yupo j2, siku za mapumziko
 
niliwahi kusema humu kuwa ..we have hte president who cannot think beyond the next meal........

huyu jamaa ni mpuuzi sana na kifupi hafai kuwa mku wa nchi.... hili songi limetulia sna na hakuna ukristo hapo.......
 
niliwahi kusema humu kuwa ..we have hte president who cannot think beyond the next meal........

huyu jamaa ni mpuuzi sana na kifupi hafai kuwa mku wa nchi.... hili songi limetulia sna na hakuna ukristo hapo.......

hhaha, mwaka wenu huu. mkifanya madudu jk, no no no
 
Hivi ina maana leo hii kuna wimbo mmoja tu wa Taifa la Tanzania?

Mie nilifikiri kila magorup yataimba wimbo wake.

Komba ataimba, watu wa Taarabu wataimba, Sikinde wataimba, Kenya wataimba nk nk.

Kama kuna wimbo ulioimbwa na Kanisa, inaweza tu kuwa walitaka Marais wausikie.

Mwisho wa siku JESHI/POLISI watauimba na Matarumbeta na ndiyo utakuwa WIMBO RASMI.

Akitaka kwa Tanzania, anaweza akampa Kipenzi chake Mazee Yusuf akauimba na JAHAZI lake.
nani alioimba? umeimbwa na kanisa
 
Raisi wetu mpendwa Jakaya huu wimbo una ukristo gani hapo jamani mbona baba sasa umekuwa mbaya namna hii kwa kuingiza udini kila sehemu tunamuomba mola akubadilishe moyo umrejee mumba uachane na huo ubaguzi wako ukotoke kabisa ndani ya moyo wako
Mmmmmmmmmmmmhn! ................................. hamuwezi kutuingiza kwenye ibada zenu kinyemela, huku tunaona! hata ile dua ya bunge huwa mie sielewi, hivi serikali si haina dini? ile dua ni ya dini gani? Yaani sisi (Waislaam) ndivyo tulivyo huwa upotofu hatuuonei uvivu kuubaini, hata mnune ndio hivyo tena!
 
ninyi mnaambiwaga jamaa ni mweupe mnakataa - huko kichwani hakuna maji ya kunyambulisha mambo hayo yaonekanyo madogo kwetu..
 
niliwahi kusema humu kuwa ..we have hte president who cannot think beyond the next meal........

huyu jamaa ni mpuuzi sana na kifupi hafai kuwa mku wa nchi.... hili songi limetulia sna na hakuna ukristo hapo.......

umeshatafuta sumu ya panya?
 
Process ya kuchagua wimbo wa East Africa iliwahi kuonyweshwa na TBC nina kumbumbuku wale watu waimbaji sikuwaona wanaimba kanisani lakini Jakaya ni mdini akiwa waziri wa wizara ya Fedha wakati fulani alikuwa na msikiti pale kati ya vyumba vya ofisi pale wizarani
Sie mbona hata barabarani tunaswali ! dakika tano mpaka saba umemaliza, unaendelea na kazi !

 
Jamani wakristo wenzangu hebu kuweni honest kwa swali hili: Kama tune ya Qasida ingetumika kutengeneza wimbo huo, would you support it?
Hebu waulize? enzi zileeee, wachaga wakisikia taarabu kwenye radio wanazima haraka haraka! kisa ? wanasema ni nyimbo za kiislaam!
 
Brother,

Perhaps that is his religious true colour. A colour of inner religious extreemism! A colour which is now unconsciously but internationally getting displayed by our highest stateman.

I would be very much proud of him should his critique be on the meaning, unity, togetherness, and aspirations embodied in the verses of the anthem.

If that story is true about our man, then am sorry for him

Kama kuna ukweli nyimbo iko kikristo kristo, itakuwa imewa unite Waislaam? Sie huwa hatuvumilii kuambiwa tatu ni moja, yaani ndo hivyo na itabaki hivyo hivyo!
 
kaza kamba mkuu jk usitetereke tuko nawe,tunajivunia wingi wetu hata kwenye kura tnazo za kutosha kabisa. Mi leo naongeza mke wa pili.Maana lazima tuzae sana kumbe wingi ni mali
 
Back
Top Bottom