Miaka miwili inatosha sana kwa Lowassa kujisafisha. Itakapofika 2015, kila mtu atakuwa anamtaka Lowassa. Sasa hivi anashindwa kufanya lolote kwakuwa bado yupo ndani ya system. Mmesahau namna ambavyo Kikwete aliandaliwa kiasi cha kuonekana bonge ya kiongozi wakati kumbe hakuna kitu? Ndivyo itakavyokuwa kwa Lowassa.WEWE hatutaki uchafu. Tumpeleke wapi Doctor wa UKWELI!???
Hehe, nasikia na heirikopta ya kampeni aliyotumia Mbowe, ilikuwa imeandaliwa itumika na Kikwete kwenye kampeni. Na ililipiwa na Kikwete mwenyewe. Huyu Kikwete ni bonge ya mnafiki wazee.na chadema walitanguliziwa bilioni tatu na wanamtandao
na hiyo ni open secret
but wanachama wengi hawajui
CHADEMA mkimkataa basi atakwenda NCCR mageuzi na atachukua urais wa nchi.WEWE hatutaki uchafu. Tumpeleke wapi Doctor wa UKWELI!???
Hakuna ushahidi wowote wa kimazingira wala wa kihalisia unaoonyesha kwamba Lowassa aliwahi kufanya ufisadi wowote. Akiwa kama waziri mkuu ilikuwa ni halali kabisa kwake kumpress msabaha aharakishe upatikanaji wa umeme. Mlitaka anyamaze kimya kama alivyonyamaza mtoto wa mkulima hivi sasa huku nchi ikiendelea kuumia na mgao mkali wa umeme?Kwenye red, sio sahihi kwa CDM kupokea magamba kutoka CCM. Lowasa hafai tena na fikra kwamba waliobaki wote kama milioni arobani hakuna kiongozi wa kufaa CDM bali Lowasa ni mawazo mgando. Bora kutoshika dola kuliko kushika dola na viongozi makanjanja.
Kwenye blue, unatoa hilo ombi wewe ukiwa wapi? CCM au CCJ? Kwa statement yako wewe sio CDM sasa nashindwa kuelewa kivipi unaitakia CDM mema? Nafikiri ni kinyume chake.
Kwa hiyo kwa mtizamo wako mafisadi ni hao watatu tu ndani ya CCM? Akina Liyumba, Yona, Mramba, Maranda ni akina nani? Na do you know kwamba Tangu Kikwete hadi wakuu wa mikoa waliomo ndani ya CCM wanafanya ufisadi wa kutisha sana nchi hii? Kwa taarifa yako ufisadi ni mfumo. Kama chama kimerushusu huo mfumo basi utashamiri, lakini kama chama kitakuwa ngangari, kinaweza kumtimua yeyote atakayeendekeza matendo yatakayoshusha reputation ya chama. Mbona Mbeki kula A. Kusini alitimuliwa chamani kiasi cha kuachia hadi urais? CCM wanaweza kufanya hayo?Kama ufisadi ungekuwa mfumo na siyo mtu kama unavyodai,,,,sidhani kama hao wangeitwa mafisadi. Bahati mbay....ndivyo wanavyoitwawakiwa kama watu
Nani amekwambia hoja zangu zinawakilisha mawazo ya CHADEMA?kwahiyo kumbe cdm si kwamba inapinga ufisadi ila wanachotaka wao ni kukamata dola tu? huu uchu wa madaraka ndiyo unaoimaliza nchi hii.
Hii thread imepandikizwa na makachero wa Magamba au wasafishaji wa mafisadi. Hii ni misinformation ili kuteka akili za watu na kuwageuza mawazo. Watu wanaoleta hizo hoja utakuta wana post 25 ikiwa maana ni mgeni au hataki ajulikane kama alikuwepo tayari. Tahadhari. Usidanganyike.na chadema walitanguliziwa bilioni tatu na wanamtandao
na hiyo ni open secret
but wanachama wengi hawajui
ndo maana tunawaita ccm mafisadi bcs ni mfumo wenu huo!Kama ufisadi ungekuwa mfumo na siyo mtu kama unavyodai,,,,sidhani kama hao wangeitwa mafisadi. Bahati mbay....ndivyo wanavyoitwawakiwa kama watu
Unaongea upumbavu na huu ni upotoshaji wa wazi,lete source ya unachokisema usilete assumption hapaTaarifa za ndani, zinapasha kwamba katika harakati za uchaguzi wa Rais za mwaka 2005, Kikwete alijiandaa kuhamia CHADEMA iwapo NEC ya CCM isingempitisha kugombea Urais. Na inasemekana kwamba mkakati kabambe ulishaandaliwa na mafisadi wa CCM (Rostam na Lowassa) kuhakikisha kwamba Kikwete anashinda Urais kupitia CHADEMA. Mkapa alinusa hilo, ndiyo maana aliamua kumuacha Kikwete apite hata kama target yake ilikuwa ni Salim A SalimInasemekana pia, kwamba Mheshimiwa Mbowe alikuwa well informed kuhusu hilo, na alikuwa anasubiri tu maamuzi ya NEC ya CCM, ndipo aamue nani awe mgombea Urais kupitia CHADEMA. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba baada ya Rostam kujiuzulu, mafisadi wengine pia kama Lowassa na Chenge watajiuzulu, na watajitahidi kutumia vyombo vya habari na pesa kujisafisha kutoka sasa hadi hapo 2014 ambapo watahamia rasmi CHADEMA. Maamuzi ya ama kuwa CHADEMA au chama kingine yatategemea pia mtizamo wa akina Mbowe na Slaa ambao wanaonekana kuwa ni threat kwa hao mapacha watatu.Binafsi ninaungana na Lowassa kuhamia CHADEMA, nina imani kwa kufanya hivyo atawezesha upinzani kushika dola kama ambavyo aliamini angemuwezesha Kikwete kushika dola kupitia CHADEMA. Tena kwa kuwa atakuwa ana kisilani na CCM Lowassa akiingia madarakani kupitia CHADEMA atahakikisha anawashughulikia wale wafujaji wa mali za umma wote waliopo CCM akiwemo na Kikwete, na kujitahidi kufanya vema zaidi katika uongozi wake ili kuwaonyesha CCM kwamba yeye si kama wao. Zaidi ya yote mimi ninamuona Lowassa kama ni strong leader, akishika nafasi ya Urais atafanya vema. Nawaombeni CHADEMA mpokeeni Lowassa.Lakini msiniulize source, sawa!!?Nawasilisha.
Wee C Henge sijui nani, naona una undugu na Chenge uliondoa hiyo C tundo maana tunawaita ccm mafisadi bcs ni mfumo wenu huo!
Upo backward mkuu na unatakiwa kusoma arama za nyakati,pole sana labda aanzishe chama kingineSijawahi kusikia Lowasa akikiponda cdm. Inawezekana pia kama atakuwa na nia ya dhati ya kubadilika, na akautangazia umma kuwa anakiri kubadilika, tunaweza kumpokea cdm. Aondoke sasa madarakani na aanze harakati za kujisafisha. Kama akapewa nafasi cdm na akaharibu basi kumtosa ni jambo la kufumba na kufumbua
Arafat umenifanya nicheke.......wanataka kuwakabidhi CDM mzigo wa bangi mbele ya polisi ha ha haaaa.hauwezi kuwachanganya wana CDM huo ni mzigo wenu kila mkiutuwa chini tutawawekea kichwani mpaka mfe nao, kumbukeni kuwa Lowasa ni PM mstaafu !
Lakini mimi nina post 88, kwa hiyo sijapandikizwa kumuuza Lowassa. Naongelea uhalisia wa mambo. Kama hutaki subiri yatakapotokea halafu utarudi hapa kunitafuta.Hii thread imepandikizwa na makachero wa Magamba au wasafishaji wa mafisadi. Hii ni misinformation ili kuteka akili za watu na kuwageuza mawazo. Watu wanaoleta hizo hoja utakuta wana post 25 ikiwa maana ni mgeni au hataki ajulikane kama alikuwepo tayari. Tahadhari. Usidanganyike.