Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Machale yananicheza hapa.Mie nadhani ni masuala ya AFYA....don't quote me,labda Muungwana alienda ku-flush....kwa sababu kama ingekuwa ni suala la ndege ya ATC basi angeweza kusubiri hadi Bush aonodke then akasawazishe masuala,hasa ikizingatiwa kuwa ANA ZIARA NYINGINE YA ULAYA MAGHARIBI HIVI KARIBUNI.Lazima kitakuwa kitu cha haraka ambacho hakupaswa kusubiri.Inawezekana ilibidi iwe kimyakimya kwani ingetangazwa kuwa anakwenda kuchekiwa TENA afya yake watu wangeanza kukumbukia zile tetesi za wakati wa uchaguzi na lile hitimisho la kuanguka pale Jangwani.Conspirancy theory?Could be,but connection ya Lowassa na Richond started like a conspirancy theory until when he ended up being named and shamed by Kamati ya Mwakyembe.