MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
Kwa wale ambao hawajasoma hii bado.
Ulikuwa hujui kama ni mwongo na msanii wa kutupwa?. Mapesa ya EPA yanamgusa mkuu wa kaya kwani ndiyo yaliyompeleka IKULU.
Hii mimi naiita ni thubutu kuu lenye ujasiri wa hali ya juu lifananalo na kupapasa pumbu za Simba.
Cha msingi hapa ni kuwa pesa haikuwa ya serikali ile.pesa ya mataijiri wa ulaya bravo wote walioibaHivi kuna tusichokijua katika vicious circle of ufisadi? sasa tunapaswa kuchukua hatua tu
Cha msingi hapa ni kuwa pesa haikuwa ya serikali ile.pesa ya mataijiri wa ulaya bravo wote walioiba