Kikwete alichangia mramba kuangushwa rombo.

Andrew Kellei

JF-Expert Member
Sep 11, 2009
348
123
Wana JF,kwa wale waliokua wanafuatilia kampeni za JK alipokua Rombo aliwaeleza kuwa Mramba ni panga la zamani lakini makali ni yaleyale(haliishi makali),hii kauli ilichukuliwa na Mgombea wa CHADEMA bwana Selasini kama ni kejeli kwa Warombo kwani akihutubia wakazi wa kilesi bwana Selasini aliwauliza wapiga kura kama kuna yeyote mwenye panga la babu yake nyumbani,katika mahojiano ikaonekana yale mapanga ya zamani(ya mababu)yamenolewa mpaka yameisha na kubaki mpini tu.
Akasema Kikwete amewashangaa warombo kwa kumng'ang'ania Mramba ambaye ni panga la zamani lililokwisha nolewa na kubaki mpini,je rombo hamna mapanga mapya yenye makali zaidi?
Hapo ndipo wapigakura walipoanza kumsikiliza Mramba kwa makini zaidi hasa alipokua anawakejeli kwamba ni afadhali kuzaa mtoto mwizi kuliko kuzaa mjinga(yeye ni mjanja kwa kuwa amefunguliwa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi).Akasema kichwa chake ni kizuri na hakuna mrombo atakayeweza kuzaa mtoto awe waziri.
 
Wana JF,kwa wale waliokua wanafuatilia kampeni za JK alipokua Rombo aliwaeleza kuwa Mramba ni panga la zamani lakini makali ni yaleyale(haliishi makali),hii kauli ilichukuliwa na Mgombea wa CHADEMA bwana Selasini kama ni kejeli kwa Warombo kwani akihutubia wakazi wa kilesi bwana Selasini aliwauliza wapiga kura kama kuna yeyote mwenye panga la babu yake nyumbani,katika mahojiano ikaonekana yale mapanga ya zamani(ya mababu)yamenolewa mpaka yameisha na kubaki mpini tu.
Akasema Kikwete amewashangaa warombo kwa kumng'ang'ania Mramba ambaye ni panga la zamani lililokwisha nolewa na kubaki mpini,je rombo hamna mapanga mapya yenye makali zaidi?
Hapo ndipo wapigakura walipoanza kumsikiliza Mramba kwa makini zaidi hasa alipokua anawakejeli kwamba ni afadhali kuzaa mtoto mwizi kuliko kuzaa mjinga(yeye ni mjanja kwa kuwa amefunguliwa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi).Akasema kichwa chake ni kizuri na hakuna mrombo atakayeweza kuzaa mtoto awe waziri.

hehehehe nawapenda sana ndugu zangu warombo..rombo ni magenius, walimcheki mramba, wakamsikiliza kikwete wakasema ivi nyie mnatuona sie mapomole eehh, subirini..wakawaonyesha kazi..rombo ni mfano wa kuigwa..rombo mko juu ndugu zangu..na amani iwe kwenu na muendelee ivo ivo..sio kwa mramba tuu, sie tunataka maendeleo, yeyote asiyefaa mnamchinjia baharini..acheni walobweteka na umaskini wao kila leo wanadanganywa wanakubali...ROMBO JUUUUU!!!
 
Mramba kajiangusha mwenyewe, pesa zote alizoiba alisahau kupeleka Rombo kuchangia maendeleo!
 
Wana JF,kwa wale waliokua wanafuatilia kampeni za JK alipokua Rombo aliwaeleza kuwa Mramba ni panga la zamani lakini makali ni yaleyale(haliishi makali),hii kauli ilichukuliwa na Mgombea wa CHADEMA bwana Selasini kama ni kejeli kwa Warombo kwani akihutubia wakazi wa kilesi bwana Selasini aliwauliza wapiga kura kama kuna yeyote mwenye panga la babu yake nyumbani,katika mahojiano ikaonekana yale mapanga ya zamani(ya mababu)yamenolewa mpaka yameisha na kubaki mpini tu.
Akasema Kikwete amewashangaa warombo kwa kumng'ang'ania Mramba ambaye ni panga la zamani lililokwisha nolewa na kubaki mpini,je rombo hamna mapanga mapya yenye makali zaidi?
Hapo ndipo wapigakura walipoanza kumsikiliza Mramba kwa makini zaidi hasa alipokua anawakejeli kwamba ni afadhali kuzaa mtoto mwizi kuliko kuzaa mjinga(yeye ni mjanja kwa kuwa amefunguliwa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi).Akasema kichwa chake ni kizuri na hakuna mrombo atakayeweza kuzaa mtoto awe waziri.




:A S angry::A S angry::A S angry: Hapo kwenye red, its shame !!!!!!!!!!
 
Kikwete mmempa chati wenyewe sababundie aliyetajwa sana kuliko mtu yeyote na mnaendelea kumpa airtime
 
Wana JF,kwa wale waliokua wanafuatilia kampeni za JK alipokua Rombo aliwaeleza kuwa Mramba ni panga la zamani lakini makali ni yaleyale(haliishi makali),hii kauli ilichukuliwa na Mgombea wa CHADEMA bwana Selasini kama ni kejeli kwa Warombo kwani akihutubia wakazi wa kilesi bwana Selasini aliwauliza wapiga kura kama kuna yeyote mwenye panga la babu yake nyumbani,katika mahojiano ikaonekana yale mapanga ya zamani(ya mababu)yamenolewa mpaka yameisha na kubaki mpini tu.
Akasema Kikwete amewashangaa warombo kwa kumng'ang'ania Mramba ambaye ni panga la zamani lililokwisha nolewa na kubaki mpini,je rombo hamna mapanga mapya yenye makali zaidi?
Hapo ndipo wapigakura walipoanza kumsikiliza Mramba kwa makini zaidi hasa alipokua anawakejeli kwamba ni afadhali kuzaa mtoto mwizi kuliko kuzaa mjinga(yeye ni mjanja kwa kuwa amefunguliwa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi).Akasema kichwa chake ni kizuri na hakuna mrombo atakayeweza kuzaa mtoto awe waziri.

Jamani, watu wa Rombo wana hate-love relationship na ndugu Basil Mramba. Hata kabla siasa ya vyama vingi, Mramba alikuwa anashindwa ubunge wa Rombo na lakini baadaye wanamrudisha. Hivyo Kikwete kwenda kule sio sababu ya Mramba kushindwa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom