nimefikiri sana kuhusu rais wetu,nimegundua huenda sisi ndo hatumuelewi
inabidi tuwe makini sana na hii gesi,naona dalili si nzuri kabisa.
Picha hii weka maneno yako mwenyewe kuhusiana na Kanada kumpa zawadi ya jezi rais Jakaya Kikwete.
kwenye mjadala wa uraisi merekani Rommeny alimlaumu Obama ku-export kazi chini, sasa sisi kiongozi wetu ana export utajiri wetu na kazi canada na usaKama safari tu atazipata nyingi sana kwani wameona kuna mafuta,gesi,almasi,gold uranium
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Squad number kuanzia 12 MARA NYINGI NI YA MARIZEVU........wakali huchukua namba 1 mapaka 11
Lazima tujiulize namba 12 ina maana gani.....namba 12 is often used as sales unit in trade and is often refered as dozen.... changanua mwenyewe....
unafikiria hivyo?Chuki zitawazeesha.
Hiyo jezi ya kitu gani polo, ice hockey au makidamakida?
fedheha...brazil wakikupa jezi yao labda kwa kua kwao mpira wa miguu ni kitu muhimu na jezi yao inayojulikana dunia nzima...sasa canada wakikupa jezi ya mpira wa miguu maana yake nini?
"Mtu ana chupa na wewe una almasi anakupa chupa unampa almasi halafu unakenua meno kama zuzu" Nyerere aliona mbali sana...