mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Hivi Chadema hamuwezi kuitisha maandamano kupinga raisi wetu kugeuzwa mwanasesere na wazungu?
"Mtu ana chupa na wewe una almasi anakupa chupa unampa almasi halafu unakenua meno kama zuzu" Nyerere aliona mbali sana...
Hiyo jezi ya kitu gani polo, ice hockey au makidamakida?
jezi ya timu gani jama hii? BG?
Yaani Madam Eliza ambacho cijaelewa hapo ni muingiliano uliopo kati ya Presidaaa.. huyo muzungu na hiyo jezi.. Jee huyo muzungu anamiliki timu yeyote ya michezo..? au labda Presidaaa ameomba jezi kwa ajili ya timu ya Ikulu.. au ndo ndo kwa ajili ya Barrick Gold team..?
Jezi ni ya soka. Timu inaitwa Toronto FC inacheza ligi kuu ya Marekani na Canada ( MLS -Major League Soccer).The 'mzungu' in the picture ni Prime Minister wa Canada anaitwa Stephen Harper.
picha hii weka maneno yako mwenyewe kuhusiana na kanada kumpa zawadi ya jezi rais jakaya kikwete.
Mmmh mi nahisi aibu kwa hiki kitu
Picha hii weka maneno yako mwenyewe kuhusiana na Kanada kumpa zawadi ya jezi rais Jakaya Kikwete.