Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
unafikiri ana lolote yule jamaa pale alipo?
natamani atumia mda huu kama anakuana nao then awaage na kuachia madaraka..........tuna miaka 5 huu wa 6 tunajiongoza wenyewe
Nashukuru kwa taarifa lakini kikao chao ni lazima Sitta, Mwakyembe na Magufuli waonywe, maana hawa jamaa wamekaa kama CDM B vile!