Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ameahidi kutoa Sh. Milioni 10 kwa kuchangia Mfuko wa Maendeleo ya Elimu ya Jimbo la Nyamagana linaloongozwa na Mbunge Ezekia Wenje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chandema).
Mytake: Nampongeza Rais kwa kutokuwa mnafiki, ameonesha waziwazi jinsi anavyokunwa na sera za CDM za maendeleo
Source: Nipashe
Home
Mytake: Nampongeza Rais kwa kutokuwa mnafiki, ameonesha waziwazi jinsi anavyokunwa na sera za CDM za maendeleo
Source: Nipashe
Home