mpuuzi
Member
- May 29, 2010
- 99
- 17
Katibu Mkuu, Alhaji, Luteni Kanali Yusuph Rajab Makamba aliwahi kusema kuwa JK ndio mtaji wa kura za CCM. Jamaa nisiowaamini kabisa, REDET nao wakaja na mapambia kama hayo ya Luteni Kanali Mstafu, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi.
Kinachoonekana hapa kuwa CCM itapata ushindi kwa sababu ya Kikwete. Sasa nauliza Swali,
Endapo Kikwete huyu akiamua kuwa mwendawazimu, ahamie upinzani, let's say TLP, na akaamua kugombea Urais, atashinda? Au kelele za Makamba na REDET bado ni porojo zile zile tulizozizoea?
Kinachoonekana hapa kuwa CCM itapata ushindi kwa sababu ya Kikwete. Sasa nauliza Swali,
Endapo Kikwete huyu akiamua kuwa mwendawazimu, ahamie upinzani, let's say TLP, na akaamua kugombea Urais, atashinda? Au kelele za Makamba na REDET bado ni porojo zile zile tulizozizoea?