mie ya mkoa wetu nampelekea mapema iwe ya kwanza kutekelezwakupitia power breakfast ya 88.4 live kikwete amekiri kuwa hana kumbukumbu sahihi ya ahadi za papo kwa papo azitoazo kwenye kampeni, anasema wazinakili kisha wampelekee.eep:
Kumbe kumchomekea hawakuanza bungeni......toka ahadi zakeTena kakiri wengine wanamchomekea. Mwananchi wa kawaida haelewi anachozungumza
kupitia power breakfast ya 88.4 live kikwete amekiri kuwa hana kumbukumbu sahihi ya ahadi za papo kwa papo azitoazo kwenye kampeni, anasema wazinakili kisha wampelekee.
Haya mapete mpaka watoto wamevishwa....mimi nilitaka kumuuliza kuhusu ongezeko la ahay mapete...simu ya Clouds haipatikani
Nguvu za ziada zaidi ya kumwamini Mungu, na Biblia inasema OLE WAO WAMTEGEMEAO MWANADAMU!Jamani naomba mnielimishe haya mapete huwa yana maana gani? Uchawi? Freemasons? Nimeyaona kwa utoh, mkapa, ndamalya itv, adam malima naibu waziri, wabunge kadhaa, etc. Wanatoa wapi? Au kwa shehe yahya? Nyerere alikua nayo?
kupitia power breakfast ya 88.4 live kikwete amekiri kuwa hana kumbukumbu sahihi ya ahadi za papo kwa papo azitoazo kwenye kampeni, anasema wazinakili kisha wampelekee.eep:
Haya mapete mpaka watoto wamevishwa....mimi nilitaka kumuuliza kuhusu ongezeko la ahay mapete...simu ya Clouds haipatikani
kupitia power breakfast ya 88.4 live kikwete amekiri kuwa hana kumbukumbu sahihi ya ahadi za papo kwa papo azitoazo kwenye kampeni, anasema wazinakili kisha wampelekee.eep: