Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,885
- 6,885
Kuna rika fulani ya watu hasa watoto, kuna watu wenye maisha ya mfumo fulani wa maisha na wengineo mnaojua mtu ukiwa katika kufikiria mambo mazito yenye kukuchefua au kuumiza ubongo, unajikuta kufarijika na kupata amani na maono mapya moyoni. Ukweli ndo huo, tujitahidi kupata nafasi ya kukutana na watu wa aina hiyo au kutembelea chekechea baada ya bongo kuchoshwa na mengi ya kukanganya utajisikia mtu umepata utulivu na amani isiyo kawaida, hata kama ni ya muda lakini inakuongezea siku za kuishi kadiri ya wanasayansi na wanasaikolojia.