Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Jamani hajaongea lolote la maana na nina uhakika ndo kazidisha moto, alichofanya ni kupiga story na alikua wapi sikuzote hizo hadi aje kuongea leo? kwa nini asubiri hadi wengine wawe wakali na kukataa malipo hayo ndio leo ajitutumue azungumzie Dowans, tena kwenye sherehe za CCM ili mambo yakiwa magumu aseme kuwa alizungumza kama Mwenyekiti wa CCM na sio RAIS, na mtaamini maneno yangu
umenena ipasavyo mkuu...huyu mzee hana washauri kabisa..yaani leo ndio kavuruga kila kitu ....yaani mi natamani kutapika mapilau aliyonipikia mama gaude mara baada ya kumsikiliza huyu mzee