Jamaa anaukana mzigo alioubeba siyo!!
Mwaka ule alisema hawajui, angewajua angewachukulia hatua.
Jana anasema anawajua,
Tuamini kipi?
Kwa hio kama hahusiki anataka tufanyeje?
Ok, tufanye ndio kamjua jana, sasa anachukua hatua gani baada ya kumjua??Hard to tell... Inaewezekana kipindi kile alikua hajui labda kajua hivi karibuni.