minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
We
wengine wajanja kama January wao wametumia ndumba mpaka leo wapo wanafaidi michongo ya pesa za fitna za kuirejesha ccm kule Zanzibar baada ya kushindwa vibaya na CUF.wametupwa kama mipira ya kiume.wanaisoma namba wengine ndugu zao waliokuwa wanatetewa na maintarahamwe wengi wao wame tumbuliwa majipu.
swissme