teh teh teh
mbona hapa mnanichanganya wajameni kama waziri Marmo vile
ila kitu kimoja unaacha, waziri marmo anatoka chama chako - ccm
teh teh teh
mbona hapa mnanichanganya wajameni kama waziri Marmo vile
Duu ktk nyeusi hapo, duuuuu
na mimi je? mbona mie mamuluki wa chadema nikijidai ni ccm.ama vipi?
Timu hii mkuu, they have the same motto, same agenda, same mind, same focus, mtu yeyote akisogea karibu yao ni vita. yaani ndiyo unagundua kabisa.
Yaani reaction ya wanachama wengi wa chadema sipati picha kabisa, iko so defencive, yaani wala hauamini. kuna mtu anaitwa sera ya majimbo na (wengine baadhi), Mnyika, Slaa wako so polite kupokea criticism na kujibu kikomavu. Hawa wengine naona kabisa kama akina Komba, twende ukaimbe mtwara yumo, twende kilosa yumo, twende kigoma yumo!
I dont see the problem ya kusema vyama vya siasa ni dhaifu mtu a-react mpaka kutoka povu.
so their comment zitakuwa zina recycle kila siku, kwa mtu yule yule.
Wewe mpaka mwana CCM damu FMES anaanzisha thread ya mbwembwe na kuwajoke wapinzani kuwa CCM will rule forever na kila argument unaona ina support ukweli huu, still mtu anasema mimi mpenzi wa chama fulani, inakuwa mtu anaenda kwa mwendo wa konokono akigusa tu kitu anabdaili njia, akiend huku na kuona barrier anageukia huku, we need breakthrough!!!
Tatizo huwa ni kwa sababu mko wengi kwenye hilo kundi hapo juu. Jaribu kufanya kazi pekee na sio kama timu. JF haipendi mamluki.. teh teh teh
Slaa sio mnafiki.. usijaribu hata kujipa cheo usichokuwa nacho
Chadema haitaki watu wanafiki kama wewe. Thanks but no thanks!
mwafrika yuko kwenye mission kufukua mamluki wa ccm wanaojipendekeza hapa na kujivika vazi la upinzani. imekuwa tu bahati mbaya kwako kuwa wewe ndiye uko kwenye mwanga leo.
teh teh teh
Mbona kazi yangu na team tumeshamaliza, kwamba kuna jamaa mmoja humu ana id mvuaaaa na id moja yenye umarufu nayo anaposti nyingi sana tena sana.teh teh teh
Mbona sasa hivi umesema wapinzani na sio chadema?
Mnafiki akisema ukweli siyo ukweli, mpaka asiwe mnafiki ndiyo unakuwa ukweli?
The topic is Kikwete ahaha urais 2010 so what are you trying to tell us back to the topic pls
Mnafiki hawezi kusema ukweli... kwa sababu hakuna ukweli kwenye unafiki (to begin with).
Mwandishi anasema JK ana mkono ndiyo maana, vyama havisimamishi wagombea. mwandishi anajaribu kutuaminisha kuwa vyama visiposimamisha wagombea wa urais basi ni JK kasababisha. Mimi binafsi nikaona ni uongo. nikasema ni kweli vyama ni dhaifu, lakini si kweli kuwa wasiposimamisha mgombea basi ni kwa sababu JK ametaka. Chadema hajasimamisha wagombea kwenye chaguzi 2. so vyama vinaweza kusimamisha au kutosimamisha kutokana na mipango yao.
My post ni kupinga hii kauli ya mwandishi na si otherwise.
Au unasemaje vyama visiposimamisha wagombea vitakuwa vimehongwa??
waberoya said:kwa hiyo vyama havisimamishi wagombea kwa sababu ya JK kafanya mpango huo? mmethibitisha, najua opposition wako weak kama mlenda, ila siamini kbaisa kama wamemezeshwa sumu na JK wasigombee urais. hata kama leo hii Slaa atasimamishwa, kushindwa lazima ashindwe tu.
Mnafiki hawezi kusema ukweli... kwa sababu hakuna ukweli kwenye unafiki (to begin with).
kwa hiyo sasa humu JF nani hajui kuwa mimi mnafiki mpaka uwatangazie? maana kila mtu anajua hivyo, msukumo wako wa kusema mimi mnafiki unatokea wapi hivi sasa? nani asiyejua mimi mnafiki humu?
How can you debate na mnafiki?
Ona sasa, umerudi kwenye play book ya timu yako... i hope kipindi hiki hutaanza matusi kama uliyotoa last time hadi ukafungiwa.
sijawahi kufingiwa kwa matusi.teh teh teh teh
Mwenyewe kazi zilinibana nikaomba wanifungie miezi miwili.teh teh teh, tafuta post yangu ya kuomba kufungiwa ,teh teh teh
LOL!
utakuwa katibu?
unafaa sana kwa kutetea hoja, vipi wazee wameku-recommend nafasi gani hapo Chadema?
unaogopa matusi kumbe? lazima wewe mstaarabu, kitu gani kingine unagopa? criticism? kuambiwa ukweli au?
sema na kama unaogopa criticism, tuache ku-post humu, ila sidhani mtu akisem Chadema ni NGO ni matusi, ni maoni tu, hupo?
Ili kumkomesha akome kabisaaaa .... kumbuka pia kuwa JF inapata members wapya kila siku, inabidi wakumbushwe kuwa kuna wanafiki, mamluki, na mapandikizi wa ccm (kama waberoya) wanaojifanya kuwa wao ni wapinzani.
Au hilo hulipendi?
Ungejua mimi hata huyo Mbowe na Slaa sijawahi waona kwa macho achilia mbali ila nawakubali kwa matendo yao
sasa anakomeshaje muda wote huu nina post na huku napata full throttle blue demon taratiibu.
unaweza kunisababishia nisiweze kutuma post? unataka kuwa Mods?
kwani Tanzania nani kasema kuwa CCM siyo sifa mpaka mtu ajifiche kwenye NGO ya chadema what is so special in chadema?
Yaani kuna level umejiweka na chama chako, unajua yeyote anayetaka kusogelea basi ni -MCCM, mmewapata wangapi humu JF na mmewafukuza wanafiki wangapi chadema, na mmebakiza wangapi?
Slaa sio mnafiki.. usijaribu hata kujipa cheo usichokuwa nacho
Chadema haitaki watu wanafiki kama wewe. Thanks but no thanks!
mwafrika yuko kwenye mission kufukua mamluki wa ccm wanaojipendekeza hapa na kujivika vazi la upinzani. imekuwa tu bahati mbaya kwako kuwa wewe ndiye uko kwenye mwanga leo.