Mgeninani
Senior Member
- Jan 3, 2010
- 191
- 9
sijaona sababu kubwa ya huyu mdengereko kurudi madarakani aliahidi ajira millioni moja kwa vijana sidhani kama hata nusu kafikia labda kama atajumlisha na wale matapeli wanaoiba benki na kuteka magari kule Kasindaga Biharamulo. Tatizo kubwa ni hawa wapinzani kutokuwa na msimamo wa thati wa kuwang'oa hawa jamaa nadhani ingekuwa vizuri kama wangemsimamisha mmoja. K'wetw atashinda lakini si kwa asilimia 80 kama 2005. Itashuka kuonesha alivyochokwa!
Kuchoka? kila mtu huwa ana choka lengo kuu ni kukamata dola! atashinda na zaidi ya asilimia 70%, Kwa maana wabongo mmezoea kundanganywa na peremende!