MpigaKura
JF-Expert Member
- Jan 25, 2007
- 384
- 101
NGOMA INOGILE...
Kwahiyo kikinuka kabisa itabidi wabunge wakwatwe mishahara kulipia posho walizochukua kutoka wizara ya fedha bila idhini ya JK?
Wanasema life is expensive in dodoma, vp kuhusu mlalahoi/mpiga kura anayeshindia chini ya dola moja kwa siku?
Hivi tunajifunza nini hapo?
Kwahiyo kikinuka kabisa itabidi wabunge wakwatwe mishahara kulipia posho walizochukua kutoka wizara ya fedha bila idhini ya JK?
Wanasema life is expensive in dodoma, vp kuhusu mlalahoi/mpiga kura anayeshindia chini ya dola moja kwa siku?
Hivi tunajifunza nini hapo?