Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

Kweli Jakaya hapa naona km ni kujitoa lawama tu, maana wizara km hii mm sioni km inaumuhimu hata kidogo. Km kuna ambaye anajua majukumu ya wizara hii naomba atujuze ss wengine..
 
Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa, Mb.,


Sasa huyu bwana mkubwa wakati wanamgomea Mkulo na mapango wake wa maendeleo wa mwaka 2012/2013 alisema maneno haya nanukuu kutoka gazeti la The Guardian.

Kalenga MP Dr William Mgimwa said they wanted to be sure that the plan would have impact on the country's economy, warning if the government failed to draw up a proper budget and control misappropriation of public funds, then the country would not reach far.

Dr Mgimwa who is an economist called for improvement in revenue collection, noting: "We only collected 5.7trillion shillings against 10.2 trillion shillings which we spent," he said.

"We want the new mining laws to function properly and ensure that planes landing in mining areas are monitored closely for proper control of our minerals," he said.
Dr. Mgimwa said electricity was another issue that needed to be solved for the country to prosper.

Kwahiyo tunamtegemea asituangushe waTZ.
 
Kuondolewa kwa mawaziri vijana kwenye baraza la mawaziri ni changamoto kubwa na inaleta maswali mengi. Je ni kukosa viongozi vijana walio tayari kwa madaraka hayo?
 
Hatukumchagua kikwete atukoge, kasema sana juu ya kulisuka upya baraza, kampongeza CAG, kazipongeza kamati za bunge, kawapongeza wabunge, kaipongeza CC ya ccm, na akasema atayatendea kazi yote walo mshauri. Hivi kuwaacha akina GEORGE MKUCHIKA NA JUMANNE MAGHEMBE ndiyo dharau kwetu? Au? Let us be patience 2015 is not far, things gona be changed 100%
 
Mbona bado wapo mkuu, January makamba, Emmanuel Nchimbi, Adam Malima, Lazaro Nyalandu,......
 
Watanzania mna moyo; mmekaa, mmeombea, mmesubiria na hatimaye mmepewa mlichotaka. Na nyinyi wa kwenye mitandao ndio mtakiona cha mtema kuni kwa kuisababisha CCM hasara sana 2010... sasa kichaa kapewa sime sokoni..


MMK unamaanisha january makamba ndiye kapewa sime? Let us wait and see
 
JK bana......mtu anapewa ubunge saa 9 mchana....saa kumi anaukwaa u-naibu waziri!! ni Tanzania pekee utakutana na hii kitu. Mwandosya waziri asiye kwua na wizara maalumu - what the **** is this??? Labda ni favour ili hospital bills zilipwe, akishapona tu, atatemeshwa uwaziri! Wassira, Malima, Sophia Simba.....tunalo!
hii kaka ni kuona aibu tu kwa sababu mwandosya ni mzuri lakini ki ukweli, na pengine ametpka afadhali ameingia potelea mbali. kuna wengine humo kwa speed ya bunge la sasa hawatadumu
 
KAKA KIGODA UMEMSAHAU ENZI ZA MKAPA NA WAKINA JUMA NGASONGWA HAWA NDio walituuzia viwanda vyetu leo tunalia hata kiwanda cha kiberi kibo match moshi kimekufa halafu unamshangilia pole sana nduguyangu? huyo mtoto wa mwinyi na kawambwa waliwahi kuwepo hizo wizara walifanya nini??? JK AMALIZE AKAFIE MBELE TU HANA MAANA.... WOTE NI WALE WALE.. HOVYOKABISAAA

Mkuu umenena, yaani kumrudisha kigoda aliyeeuza mashirika na kujipatia 20% kibao na hakuna lolote alofanya la maana akiwa Ofisi ya Rais Mipango na ubinafsishaji. Mipango mibovu ambayo hadi leo Tanzania inaendeshwa kama kichwa cha mwendawazimu bila mipango mathubuti. Hafai huyu Kigoda tena ni mdini sana na machawi mno. Familia nzima ya kigoda ni uchawi kwa kwenda mbele hadi watoto wake wameiga!!! Hivi kweli hakuna wabunge vijana CCM wenye upeo na akili hadi ateuliwe Kigoda? But kweli huu ni utabiri wa kufa kwa SSM, sijaona jipya katika baraza hili. Chama changu kipenzi CCM umebaki jina tu!!! My God!
 
Hata kama malaika wakishuka toka mbinguni waje kuwa mawaziri hakuna jambo lolote litakalobadilika; rais yuleyule, chama kilekile, sera zilezile, mfumo uleule; kilichofanyika ni sawa na kubadilisha glasi wakati kinywaji ni kilekile.
 
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,

KIVIPI HAPA WAKUU?
 
Jamani tuwe siriaz kidogo, mawaziri vijana au mawaziri wazee wote si wanatoka ccm? Kwani tatizo ni umri, genda au ni chama?

Au ndio kupotosha?
 
Pongezi Mh. Raisi kwa uteuzi. Nadhani tutapata mabadiliko. Sasa ningependa kwa anayejua maelezo zaidi ya waliochaguliwa atujuze tuweze kutoa maoni zaidi. pia tuwape muda jamani na tuwape moyo pia
 
Back
Top Bottom