Gelange Vidunda
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 314
- 31
If you ask me Nape Nnauye should Shut the Fcuk Up!
But, then again, who is asking......
But, then again, who is asking......
Nape hana jipya bt muangalie madhara ya nape pia kugeuka msemaji wa rais,alitamka KULIUNDA AMA KULISUKA UPYA.yaliyojir hapo jana ni michosho na usanii
Kama ni kusuka kweli limesukwa, natamani lingenyolewa maana kusuka, nywele ni zile zile tofauti ni mtindo tu.
Mawaziri Manaibu Muslims 8/30 (26.7% ) 7/25 (28%) Christians 22/30 (63.3%) 18/25 (62%)
Nadhani Mzee wa CDM, Ed Mtei atafurahi sana
Kiongozi bora katika kupangua baraka lake la mawaziri kila mara au kisafiri nje kila mara kama mtaliiJk alikua kiongozi bora sana
Nanukuu maneno ya watu wa mitaa flani hivi kinondoniKiongozi bora katika kupangua baraka lake la mawaziri kila mara au kisafiri nje kila mara kama mtalii