carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,837
- 262
Gosh...Mtatigha abhana bheito..<br />
<br />
Hata kwenye orodha ya warisya haumo, si ajabu ni zao la wale ........ (kama lile fumanizi la Igunga)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gosh...Mtatigha abhana bheito..<br />
<br />
Hata kwenye orodha ya warisya haumo, si ajabu ni zao la wale ........ (kama lile fumanizi la Igunga)
Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa nchi za Tanganyika na Zanzibar anatarajia kutangaza kupanda kwa bei ya umeme kitendo ambacho kitaongeza makali ya maisha ya watanzania ambao wengi wetu tunaganga njaa. Hivi Vasco dA GAMA akisitisha safari mbili hiyo ela haiwezi kufidia hilo ongezeko la bei hat kwa mwaka mmoja????
<br />Alishasema kua asipo safiri tutakufa njaa!
Pamoja na PM kutangazia taifa kupanda kwa bei ya umeme,Mgao bado uko pale pale? Maana naona hapa A town 2na mgao kama kawa.
Hivi sikuizi ndege hazianguki?
Hivi ile thread ilyokuwa inahesabu safari za mkuu iko wapi vile tuongeze nambaameenda marekani katika ufunguzi wa UNGA.vilevile atashiriki katika sherehe za kuazimisha maendeo yaliyofikiwa na nchi zinazo endelea.
wakati huo huo waziri mkuu pinda ametangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza bei ya umeme kwa sababu tanesco inajiendesha kwa hasara.mia
ameenda marekani katika ufunguzi wa UNGA.vilevile atashiriki katika sherehe za kuazimisha maendeo yaliyofikiwa na nchi zinazo endelea.
wakati huo huo waziri mkuu pinda ametangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza bei ya umeme kwa sababu tanesco inajiendesha kwa hasara.mia