Kaka
The Chinese, are at the point where they invest in sport franchises, wewe unaongela ujamaa. Hawa washapita na ujamaa longtime; their soo capitalist to the point western 'left side' politacal parties seem radical in their eyes.
Watu wanafikiri ile ya kudhibiti ufisadi kule china ni ujamaa, kwi kwi kwi kwi, wale wachina sio wajamaa na wamepita huko karne kadhaa, kule china ukiongeza mtoto wa pili inabidi umlipie kodi.
Kule china karibu kila familia ina kakiwanda japo hata ka kukamua matunda. Ukoministi/ujamaa ni ile hali ya kujenga state kwa wananchi kuwa waoga wakati wote, wananchi kuwa natabia ya kidomodomo ili kurahisisha kazi ya polisi ya kuwa -tocha raia. Ukoministi/ujamaa ni hali ya kujenga FIREWALLS ambayo ni ruhusa kwa watu fulani kuwa nacho, lakini wengine hamruhusu kupata , hata kama umepata kihalali lazima waku question ama kukutaifisha kabisa huo ndo ukoministi/ujamaa
Ukoministi ni ile hali ya kumhofia mwenzako kwamba ukimtonya ktk dili fulani anaweza faidika sana, kwa hiyo hata kama wewe hilo dili huliwezi bora mlikosa wote. Huu ndo ukoministi/ujamaa.
Ukoministi ni ule kama mimi kitu fulani siwezi kukipata lazima nifanye njama za aina zozote na Mkandara asipate, na hata kama ninacho nitahakikisha Mkandara hapati ili Mkandara aendelee kunitukuza.
Nendeni mkajiulize ama mkasome mawazo ya kikoministi yanavyopinga URAIA WA NCHI MBILI. Ukoministi ni tatizo kubwa sana tena sana. JK angefanya tu kuwaoondowa wazee wote walio juu ya miaka 45 ktk nyadhifa zao.