makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Kiwete aache porojo.
Anazungumzia UJAMAA upi? Je,anataka kutuaminisha kuwa Tanzania bado tunafuata Siasa ya Ujamaa? Kila mtu anajua kuwa Siasa za Ujamaa na Kujitegemea zilizikwa pale Zanzibar baada ya CCM kufutilia mbali sera za Ujamaa na mambo yanayohusiana na Azimio la Arusha.
CCM kutoka hapo waliibuka na Sera mpya ya UBINAFSISHAJI na UGENISHAJI. Kwamba kutoka sera ya Kumilikisha njia zote kuu za Uchumi kwa Wazawa(Wakulima na Wafanyakazi) sasa njia kuu za Uchumi zimemilikishwa kwa Wageni al-maarufu WAWEKEZAJI.
Kwa sasa Raslimali zote ikiwemo MIGODI,VIWANDA na BIASHARA zote muhimu zinamilikiwa na WAGENI pengine tuwaite WAKOLONI!
Mwalimu JK Nyerere(RIP) alichukua au ali-copy sera hizi toka kwa Wachina miaka ya 1960s mapema tu baada ya kuungana na Zanzibar. Nyerere alikuwa na nia njema kabisa kwa Watanzania kwa sababu yeye alikuwa na maono ya mbali.
Leo Wachina wanaofuata sera hizo za kijamaa wamekuwa ni tishio kwa dunia katika nyanja zote. China kwasasa inashindana na USA,JAPANI,UK,Germany,France na nchi zingine za kibebapari1
China huwezi kusikia habari au neno FISADI.Ukipatikana na tuhuma za Ufisadi unakula shaba on the spot! Hakuna longolongo na ndiyo maana wenzetu Wachina leo wako hapo walipo.
CCM wamekataa UJAMAA wakakumbatia UBEPARI na UFISADI wa kutisha!
Kikwete awambie Wa-tz ubaya wa UJAMAA na uzuri wa UGENISHAI/UBINAFSISHAJI ambao umekuwa ni kichocheo cha UFISADI na RUSHWA ndani ya CCM!
Anazungumzia UJAMAA upi? Je,anataka kutuaminisha kuwa Tanzania bado tunafuata Siasa ya Ujamaa? Kila mtu anajua kuwa Siasa za Ujamaa na Kujitegemea zilizikwa pale Zanzibar baada ya CCM kufutilia mbali sera za Ujamaa na mambo yanayohusiana na Azimio la Arusha.
CCM kutoka hapo waliibuka na Sera mpya ya UBINAFSISHAJI na UGENISHAJI. Kwamba kutoka sera ya Kumilikisha njia zote kuu za Uchumi kwa Wazawa(Wakulima na Wafanyakazi) sasa njia kuu za Uchumi zimemilikishwa kwa Wageni al-maarufu WAWEKEZAJI.
Kwa sasa Raslimali zote ikiwemo MIGODI,VIWANDA na BIASHARA zote muhimu zinamilikiwa na WAGENI pengine tuwaite WAKOLONI!
Mwalimu JK Nyerere(RIP) alichukua au ali-copy sera hizi toka kwa Wachina miaka ya 1960s mapema tu baada ya kuungana na Zanzibar. Nyerere alikuwa na nia njema kabisa kwa Watanzania kwa sababu yeye alikuwa na maono ya mbali.
Leo Wachina wanaofuata sera hizo za kijamaa wamekuwa ni tishio kwa dunia katika nyanja zote. China kwasasa inashindana na USA,JAPANI,UK,Germany,France na nchi zingine za kibebapari1
China huwezi kusikia habari au neno FISADI.Ukipatikana na tuhuma za Ufisadi unakula shaba on the spot! Hakuna longolongo na ndiyo maana wenzetu Wachina leo wako hapo walipo.
CCM wamekataa UJAMAA wakakumbatia UBEPARI na UFISADI wa kutisha!
Kikwete awambie Wa-tz ubaya wa UJAMAA na uzuri wa UGENISHAI/UBINAFSISHAJI ambao umekuwa ni kichocheo cha UFISADI na RUSHWA ndani ya CCM!