Katika forum/audience kama ile......JK akiwa kama Mwenyekiti wa AU na kwa uwezo wake mlitaka aseme nini?
..Kikwete amechimba mkwara wa 'kuwashukia' madikteta wa Afrika.
..hivi uwezo huo upo kweli, au ni usanii tu?
Kazi ya makada ni moja tu kusifia sifia....Hongera sana Mh. JM Kikwete kwa kazi nzuri unayoifanya.
Stay blessed
hongera sana mh. Jm kikwete kwa kazi nzuri unayoifanya.
Stay blessed
hivi anajua kinachoendelea na Nkunda kule DRC.... au alikuwa anazungumzia bara gani?