QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Kikwete aanza hujuma kumzuia Dr. Slaa asimalizie kampeni Mbeya
Kuna tetesi zimeanza kuvuja toka ndani ya CCM (hapa Dar) na Mkoani Mbeya kuwa wakati Dr. Slaa ameamua kufungia kampeni Mkoani Mbeya, JK ameamuru viongozi wa mkoa na wilaya zote kuzuia mkutano huo. Habari zaidi zinasema kuwa katika mpango huo, anaelekeza kuwa yeye mwenyewe JK, atafungia kampeni zake Mbeya wakati wengi tunajua kuwa atafungia Jangwani.
Habari hizi bado hazijathibitishwa. Nitaenmdelea kufuatilia na kukufahamisheni. Na kwa wale walioko Mbeya, Tafadhari leteni habari zaidi mkizipata. Hata hivyo, naamini Peoples power itashinda.
Kuna tetesi zimeanza kuvuja toka ndani ya CCM (hapa Dar) na Mkoani Mbeya kuwa wakati Dr. Slaa ameamua kufungia kampeni Mkoani Mbeya, JK ameamuru viongozi wa mkoa na wilaya zote kuzuia mkutano huo. Habari zaidi zinasema kuwa katika mpango huo, anaelekeza kuwa yeye mwenyewe JK, atafungia kampeni zake Mbeya wakati wengi tunajua kuwa atafungia Jangwani.
Habari hizi bado hazijathibitishwa. Nitaenmdelea kufuatilia na kukufahamisheni. Na kwa wale walioko Mbeya, Tafadhari leteni habari zaidi mkizipata. Hata hivyo, naamini Peoples power itashinda.