Ogah,
Zinaweza kuwa ni DATA za kijiweni. Lakini na wewe huoni kama hujaitendea HAKI akili yako kwa kuhitimisha haraka haraka! Au ndio yale aliyoyasema BWM kwamba watanzania tu wavivu wa kufikiri (naongeza kufanya utafiti). Changamoto yangu kwako kabla hujahitimisha HITIMISHO lako fanya utafiti kwanza. Wako wengi tu wanajua hili ninalolisemea............
1. kwamba watanzania tu wavivu wa kufikiri.......kwi kwi kwi.....yaani wewe ukakubali story za vijiweni kuwa pesa zilizopaswa kupanua mwanza airport ndio zilijenga/zilitumika kujenga Uwanja wa Mbeya!!!.......
2.Endelea na utafiti gottee...........
Ushauri........unaweza kucheck na watu wa mamlaka ya viwanja vya ndege ukitaka information sahihi kuhusu viwanja vya serikali