Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
tunaomba watuwekee ufafanuzi wa hiyo njia itapita wapi kuwezesha hayo mabasi kwenda mbio toka feri hadi Kimara.Na wakati huo huo siye wa madongo kuinama mbagala, tabata,kawe,mwenge,tegeta tunapita wapi kufika katika mijengo yetu ya kazi na dala dala zetu?
Hapa wanatafutia njia ya kutokea muungwana hapo 31oct.
Hapa wanatafutia njia ya kutokea muungwana hapo 31oct.