pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,593
- 2,978
Hivi ana washauri? Wametafakari logistics za kuziendesha na kuzihudumia hizo Bajaj? Na tatizo hilo lipo Chunya tu au ndio nchi itajazwa Bajaj za serikali? Tupo karne hii ya technolojia kweli tukiwaza kutumia Bajaj kuwapeleka wajawazito hospitali?