Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo term yake ya mwisho kwa hiyo ataahidi lolote ili aingie Ikulu, anajua hatutaweza kumkaba kwenye uchaguzi ujao.Tokea ameanza kampeni kuna idadi ya ahadi kama 25 hivi kama sio 30 kujenga viwanja vya ndege, kununua meli, umeme na nyingine nyingi ataweza kweli huyu mkulu
Hivi bajaj ni bei gani..Kwanza naona kawazalilisha kwanini asiwanunulie hao mawizi wake wakatembelea badala yake anataka mama zetu ndiyo watumie wakati wa kwenda kujifungua...au kwanini asipunguze garama za kukukalabati ikulu kila mwaka kwa bil 26 akatumia angalau bil 10 kama alivyofanya Mkapa kipi chote cha utawala bil 16 zingeweza kununua ambulance ngapi...aache kuwafanya watanzania wajinga...usikute walimpigia makofi, si wange mpiga mawe hata....Mgombea wa CCM JM Kikwete jana alitoa ahadi ya kutoa bajaj 400 kwa wajawazito huko Chunya ili ziwasaidie kuwawahisha hospitalini mara tu atakapoingia madarakani. Source: Radio Maria
Sungura
Unashangaa nini? hujui kwamba yapo maeneo ya vijijini wajawazito wanasafirishwa kwa baiskeli.Huoni kwamba bajaji zinaweza zikawasaidia zaidi wajawazito hao kushinda baiskeli wanazotumia? bajaji ni usafiri mzuri na unakubalika kulingana na maeneo husika .
Mgombea wa CCM JM Kikwete jana alitoa ahadi ya kutoa bajaj 400 kwa wajawazito huko Chunya ili ziwasaidie kuwawahisha hospitalini mara tu atakapoingia madarakani. Source: Radio Maria
Sungura
Kama wananchi wanateseka na kupanda baiskeli kupelekwa hospitali nadhani bajaj ni better than hiyo baiskeli...wengine wanapandishwa kwenye mikokoteni ya kukokotwa na punda...au hatujasikia hizo? ?? zipo ndugu zangu na nafikiri ni simple logic kuwa ukiwa na bajaj ikamuwahi huyo mjamzito na kumkimbiza hospitali itamsaidia mara milioni kuliko baiskeli au huo mkokoteni..au la basi tuache wafie njiani??
Nadhani bajaj ni step nzuri kuelekea kuwa na magari coz hayo magari yaliyopo utaambiwa hayana mafuta au visingizio kibao ila bajaj ukiweka wese kidogo unazunguka hadi unasahau...nadhani hiyo ahadi ina-apply kwa maeneo yenye matatizo sugu ya usafiri so to me hiyo ahadi nadhani itawapa nafuu wanajamii husika kama akichaguliwa na kuitekeleza.
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM),Jakaya Kikwete ameahidi kutoa pikipiki za miguu mitatu(Bajaj) 400 za wagonjwa(ambulance) kwa nchi nzima na gari moja la Wagonjwa kwaajili ya kituo cha afya cha Mkwajuni ili kuwasafirisha wajawazito katika Wilaya ya Chunya.
Akizungumza na Wakazi wa Mkwajuni Wilayani hapa wakati wa mkutano wake wa kampeni,Kikwete alisema ahadi hiyo ataitekeleza pindi atakapochaguliwa kurejea kwenye kiti alichonacho hivi sasa.
Chanzo:Tanzania Daima.
Mwandishi: Irene Mark.Mbeya.
My take.
Bajaj na wajawazito hii kali hata kipindi cha zama za mawe hii isingekubalika.Bado sijamuelewa ana maanisha nini!!1 kazi ipo.
Kama wananchi wanateseka na kupanda baiskeli kupelekwa hospitali nadhani bajaj ni better than hiyo baiskeli...wengine wanapandishwa kwenye mikokoteni ya kukokotwa na punda...au hatujasikia hizo? ?? zipo ndugu zangu na nafikiri ni simple logic kuwa ukiwa na bajaj ikamuwahi huyo mjamzito na kumkimbiza hospitali itamsaidia mara milioni kuliko baiskeli au huo mkokoteni..au la basi tuache wafie njiani??
Nadhani bajaj ni step nzuri kuelekea kuwa na magari coz hayo magari yaliyopo utaambiwa hayana mafuta au visingizio kibao ila bajaj ukiweka wese kidogo unazunguka hadi unasahau...nadhani hiyo ahadi ina-apply kwa maeneo yenye matatizo sugu ya usafiri so to me hiyo ahadi nadhani itawapa nafuu wanajamii husika kama akichaguliwa na kuitekeleza.
Mgombea wa CCM JM Kikwete jana alitoa ahadi ya kutoa bajaj 400 kwa wajawazito huko Chunya ili ziwasaidie kuwawahisha hospitalini mara tu atakapoingia madarakani. Source: Radio Maria
Sungura
Kama wananchi wanateseka na kupanda baiskeli kupelekwa hospitali nadhani bajaj ni better than hiyo baiskeli...wengine wanapandishwa kwenye mikokoteni ya kukokotwa na punda...au hatujasikia hizo? ?? zipo ndugu zangu na nafikiri ni simple logic kuwa ukiwa na bajaj ikamuwahi huyo mjamzito na kumkimbiza hospitali itamsaidia mara milioni kuliko baiskeli au huo mkokoteni..au la basi tuache wafie njiani??
Nadhani bajaj ni step nzuri kuelekea kuwa na magari coz hayo magari yaliyopo utaambiwa hayana mafuta au visingizio kibao ila bajaj ukiweka wese kidogo unazunguka hadi unasahau...nadhani hiyo ahadi ina-apply kwa maeneo yenye matatizo sugu ya usafiri so to me hiyo ahadi nadhani itawapa nafuu wanajamii husika kama akichaguliwa na kuitekeleza.
Na thamani za kila ofisi @ mwakaYani wajawazito wanunuliwe bajaji mia tatu, wakati mashangingi ya viongozi yanaagizwa zaidi ya 300 kila mwaka!
Kuna siku alisema hajawahi kunyonga na weza kusema hii ni kumu ya kunyonga wazaziKumbe JK ni muuaji ! yaani mjamzito + Bajaj + barabara ya mashimo = kifo cha kiumbe wa tumboni.