Jasusi,
Unajua IMF na World Bank wao hutoa mapendekezo yao kama strategy ya kiuchumi..
Mfano Serikali haitakiwi kumiliki mali ambazo ni biashara ikiwa ni pamoja na upangishaji wa nyumba.
Hapo mswahili kapewa tayari mbinu!...Badala ya serikali kuziweka nyumba hizi ziwe ktk kifungu fulani cha mapendekezo ya IMF (social walfare)..kinachosisitiza ujenzi wa nyumba kwa ajili ya wananchi wenye kipato kidogo. Kifungu hicho kinawekwa pembeni kwa sababu nyumba hizi ni mtaji mkubwa sana, haiwezekani kabisa kupewa wenye kipato kidogo... pia kuendelea kuwaweka viongozi wa serikali hali wanapokea mishahara mikubwa ni tatizo jingine ambalo IMF wamelizungumzia.
Pili wanaofaidika na nyumba hizi ni wale ambao hawapo tena ktk uongozi isipokuwa walikuwa watumishi wa serikali wakati wa Nyerere!. Hii zawadi kubwa sana haiwezi kwenda kiholela namna hii!
Sasa kifanyike kipi?... Nyumba ziuzwe, kila mmoja wetu achukue chake mapema!
NI kweli kabisa hapakuwa na sababu, serikali kuziuza nyumba hizo kwani mapendekezo ya IMF huwa ktk kupunguza gharama na kuhakikisha serikali haikalii utajiri.
Akili mu- kichwaa
Unajua IMF na World Bank wao hutoa mapendekezo yao kama strategy ya kiuchumi..
Mfano Serikali haitakiwi kumiliki mali ambazo ni biashara ikiwa ni pamoja na upangishaji wa nyumba.
Hapo mswahili kapewa tayari mbinu!...Badala ya serikali kuziweka nyumba hizi ziwe ktk kifungu fulani cha mapendekezo ya IMF (social walfare)..kinachosisitiza ujenzi wa nyumba kwa ajili ya wananchi wenye kipato kidogo. Kifungu hicho kinawekwa pembeni kwa sababu nyumba hizi ni mtaji mkubwa sana, haiwezekani kabisa kupewa wenye kipato kidogo... pia kuendelea kuwaweka viongozi wa serikali hali wanapokea mishahara mikubwa ni tatizo jingine ambalo IMF wamelizungumzia.
Pili wanaofaidika na nyumba hizi ni wale ambao hawapo tena ktk uongozi isipokuwa walikuwa watumishi wa serikali wakati wa Nyerere!. Hii zawadi kubwa sana haiwezi kwenda kiholela namna hii!
Sasa kifanyike kipi?... Nyumba ziuzwe, kila mmoja wetu achukue chake mapema!
NI kweli kabisa hapakuwa na sababu, serikali kuziuza nyumba hizo kwani mapendekezo ya IMF huwa ktk kupunguza gharama na kuhakikisha serikali haikalii utajiri.
Akili mu- kichwaa