Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 340
Wanaume wanapodanganywa !
Nilijua CCM sasa inaanza mikakati 2015, Mleta uzi unabip nyoyo za watu eeeh.
Hamna hata banda lililorejeshwa zaidi ya kjuzwa zaidiHivi ni nyumba ngapi zimerejeshwa hadi sasa ?
Umesema Rais Kikwete, hii habari itakua ni ya siku nyingi na ilishashindikana.kama taarifa hii ni ya kweli basi utakuwa ni uamuzi wa kwanza mzuri kufanywa na rais kikwete.
tunaomba urudishwaji wa nyumba hizo usiwe wa upendeleo, tunaomba mawaziri woote walio nunua nyumba hizi wazireje serikalini,
na mfano mzuri uanze kwa kikwete mwenyewe kuirudisha ile nyumba yake.
na zaidi wale waliohusika kuuza nyumba hizi lazima wachukuliwe hatua kali.
tunaomba mheshimiwa raisi usiishie hapo tu endelea kufatilia mambo muhimu yanaonendelea kudhoofisha taifa hili.
watu waache kuleta mchezo na mali za serikali, tunaomba mrudishe nidhamu ya hali ya juu inapokuja kwenye mambo ya serikali na kodi za watanzania.
na hata hapo kwako ikulu matumizi kama hayo ya mkeo kutumia ndege ya serikali kwenda kuhudhulia vituko vya dictator mfalme swazi tunaomba muache,badala yake hizo pesa zitumiwe kwenye kutatua matatizo ya umeme nk.
nawakilisha
kikwete ni shujaa .Hamna hata banda lililorejeshwa zaidi ya kjuzwa zaidi
huu si uchafu bali ni ushahidi wa uongo wa viongozi wa ccm , sasa hawa wengine wanaoropoka leo tunawanakili tu .Huu uchafu wa 2006 ebu toeni, au kuna jipya?
Watutudishie viwanja vyetu vya soka vyote! Viende kuwa chini ya manispaa na halmashauri.
Hii ni aibu sana kwa waliokuwa wakikesha kuipigia debe awamu iliyopita wakati ilijaa madhambihuu si uchafu bali ni ushahidi wa uongo wa viongozi wa ccm , sasa hawa wengine wanaoropoka leo tunawanakili tu .
wanaccm hawana aibu wala hawajawahi kuwa nayo , hebu fuatilia wabunge wao wanavyogonga meza bungeni.Hii ni aibu sana kwa waliokuwa wakikesha kuipigia debe awamu iliyopita wakati ilijaa madhambi
Kuna mahali wameandika JPM ni mteule wa Mungu ambaye kamleta kukomboa WaTz. Nimewauliza jee huyo Mungu wanayemsema ni yule walisema JK ni chaguo lake? Hakuna anayejibu wanarukaruka tuu.wanaccm hawana aibu wala hawajawahi kuwa nayo , hebu fuatilia wabunge wao wanavyogonga meza bungeni.