Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...ulipata kura 4 kati ya 2000+! This should tell you something! No wonder unatumia nguvu kutawala maana unajua kuwa uliwekwa na NEC na sio kwa kura halali.
kwa nini unaandika post kana kwamba kila mtu yupo kichwani kwako na kujua unachofikiria! kwa nini usiandike maana yako kwa weledi kichwa cha habari kiungana na habari yenyewe na kuwe na mwanya wa kujadili, sasa hii thread yako imekaa tangazo si tangazo, agizo si agizo lalamiko si lalamiko halieleweki,. wahusika wawe wanachuja na kutupa kapuni thread za aina hii!!
...ulipata kura 4 kati ya 2000+! This should tell you something! No wonder unatumia nguvu kutawala maana unajua kuwa uliwekwa na NEC na sio kwa kura halali.
kata ya Rasi